Jamani nimekutana na hii Kadhia. Wanawake kuweni wasafi basiii Khaaaaah!

Jamani nimekutana na hii Kadhia. Wanawake kuweni wasafi basiii Khaaaaah!

Ahahahahahaha
Wanawake wa mikoani hawafugi mikucha asee na huku atujazoea miscrub arifu . Na saluni zetu mwisho buku tu bei yake. We ni mwanaume wa dar mzee baba ila unajficha tumekustukia
Ni kweli boss. Lakini chugga now mambo ya Daslm yapo
 
Wewe unae interprete pia unatakiwa ujaribu ku evaluate unachosoma katika angles tofauti tofauti.

May be hukuupata ujumbe niliokusudia kuutoa so sikulaumu. Ninachotaka kukazia ni kuwa sisi wanaume siku hizi tumekuwa walalamishi sana kuliko siku za nyuma.

Zile tabia za kulia lia za dada zetu na mama zetu za miaka ya nyuma za kutaka haki sawa mara 50/50 siku hizi kama vile tume zi adopt sisi.

Kwanini tusipambane na hali zetu kiume jamani.

Sipingi unachosema, kuna ukweli ila nadhani maelezi Ya siku hizi yanachangia sana, mpaka watoto wa kiume wanabehave kama watoto wa kike.
 
Ila jamani wanaume wa siku hizi tunalalamika sana. Kila ukiperuzi majukwaa ni wanaume tu wanalalamika.

Khaa mpaka imekuwa kero sasa. Wanaume tukomae jamani tupambane na hali halisi mbona tunalia lia kila uchwao?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu kila mada mwanamke kafanya hiki mara kafanya vile yaan[emoji15] [emoji15] ....halafu vyote vibaya sasa!

Mi nyuzi zinazohusu wanawake sijui wamefanya nini siingii, full kuboa!
 
Unatabia za kijames delicious sana Full kujisifia na kuja na nyuzi za kusimanga wanawake. Hope sio mtoto wa chupa wewe.
Haaahaaaa....my Numbisa in da house[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji91] [emoji91]

Mpe mpe usimuruke[emoji23] [emoji23]
 
Acheni Uzwazwa wanawake
Halafu kila mada mwanamke kafanya hiki mara kafanya vile yaan[emoji15] [emoji15] ....halafu vyote vibaya sasa!

Mi nyuzi zinazohusu wanawake sijui wamefanya nini siingii, full kuboa!
 
😂😂😂 kwa hiyo mkuu umefanyiwa scrub yenye mchanganyiko wa nyaa.......pole sana.
 
Ila jamani wanaume wa siku hizi tunalalamika sana. Kila ukiperuzi majukwaa ni wanaume tu wanalalamika.

Khaa mpaka imekuwa kero sasa. Wanaume tukomae jamani tupambane na hali halisi mbona tunalia lia kila uchwao?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huenda kuna transformation kubwa inatokea kama ile ya nyani kuwa mtu
 
Kwanza unafanya scrub,pili una aibu umeshindwa kumuambia ukweli,hii obvious itakuwa ni Dar...
 
Back
Top Bottom