Jamani nimelogwa au!!!!!

Jamani nimelogwa au!!!!!

Its all about crossing that thin line, Dini yangu inasema Panapokuwa na watu wa 2 tu wa jinsia tofauti wa 3 huwa ni shetani. everytime unakutana na huyo dada try to involve someone else muwe wa 3 hata kama hausiki na akipungua mmoja na wewe ondoka. It will workout.
 
Unaonekana ushatamani mkuu! Kula fasta, osha mikono na omo, sugua mdomo kwenye mchanga kama mmbwa mwitu, then sepa fastaa sanaaa.

Eti eeeheeeeeeeeeee! Mwambie hasisahau kuvaa mpira ili asije akapeleka wadudu nyumbani
 
Punguza ukaribu na kusiwe na mawasiliano yoyote zaidi ya kikazi, akikutumia msg kama sio za kikazi usimjibu, na mkiwa mnaongea story mwambie jinsi unavyompenda mke wako na familia yako na jinsi mke wako alivyo mzuri na kwamba hujawahi kucheat.
 
Jamani upoteze uaminifu wako wote wa miaka 7 sababu ya Mpita njia???????? Naona una mpango wa ku destroy familia Yako, think about ur kids, think about wife, think about HIV/ AIDs,
 
Kataa hiyo tamaa kwa faida ya ndoa yako na pia muonee huruma na kuwa na utu juu ya mume mwenzio!
 
Hilo ni jaribu na likabili kwa maombi kumbuka USIZINI ni amri ya 7 kwa Wakristo basi ikumbuke haya majaribu hutupata sote but do NOT succumb to them
 
Hujarogwa chochote ila umepagawa tu mtu aliyerogwa hawezi kujitambua kwa urahisi kama ilivyo kwako wewe, kuna viti ambavyo vinakuvuta kwa mwanamke huyo, inawezekana kuwa ni mtimzamo ambao mkeo hana, yaani namanisha kwamba inawezekana umevutiwa na macho yake, height yake, uongeaji wake, rangi yake na hata mikogo yake kama siyo umbile lake ambayo yote haya yako tofauti na yake ya mkeo, hivyo ndivyo vinavyokuvuta na wewe kusema umerogwa, hujawahi kuomuo na mtu aliyerogwa eeeeh?
 
Hujarogwa chochote ila umepagawa tu mtu aliyerogwa hawezi kujitambua kwa urahisi kama ilivyo kwako wewe, kuna viti ambavyo vinakuvuta kwa mwanamke huyo, inawezekana kuwa ni mtimzamo ambao mkeo hana, yaani namanisha kwamba inawezekana umevutiwa na macho yake, height yake, uongeaji wake, rangi yake na hata mikogo yake kama siyo umbile lake ambayo yote haya yako tofauti na yake ya mkeo, hivyo ndivyo vinavyokuvuta na wewe kusema umerogwa, hujawahi kuomuo na mtu aliyerogwa eeeeh?


Hiyo ndo kweli khaswaa hamna kurogwa hapo wala nini. Sema na moyo wako mtoto wa kiume wewe

Hebu imagine we ndo ungekuwa she umeolewa na uko katika hali hiyo????
Au hiyo inatokea kwa mkeo halafu anahitaji ushauri kwa shost wake unfortunately text anakutumia wewe kaabbbbah.....!!!

Yangu ndo hayo tu
 
Acha uzinzi.
Utaharibu ndoa yako kwa tamaa za mwili.
Ishinde tamaa.
OTIS
 
Haitajiki elimu ya phd kumfaham JUHA!!

Watu mnshindwa kuelewa kuwa mapenzi yapo.. Na kuoa hakumaanishi kushindwa kupenda tena!
Wengi wetu ni mashahidi wa ndoa nyingi zinazofungwa na huku wanandoa hao wakiwa wameacha wapenzi wao,kutokana na kushindwa tu kuoana,na si kushindwa kupendana.

Ila kwa mtoa mada,najua unayoyapitia.. Sijui ndoa yako ikoje,lakini chanzo kingine cha moyo kupenda mtu mpya,ni migogoro au mgogoro sugu kwenye ndoa. Hata kama hakuna mgogoro lakini wataalamu wanashauri "kuirenew" ndoa,kwa vitu tofauti.

Mkishakuwa na watoto,ndiyo ndoa hupooza maana mnawaza mambo ya kifamilia wala mambo yenu wawili kama mke na mume hamyafanyi! Hamtoki out,beach,dinner,utani hakuna tena,na vitu kama hivyo...

Ukinisoma vizuri utanielewa,ila si dhambi,ila ni hali halisi na wewe si wa kwanza kutokewa na hali hiyo.
Kuna wengine wanalaumu,dharau,tusi,wakati hata kama hujavua nguo na kucheat,unapomuangalia kwa kumtamani ni sawa na kuzini naye tayari!

Unamwangalia na kumtofautishaje mtu anayetaabika na ndoa yake,na kukosa mapenzi na mwenza wake,lakini anakutana na mtu anayemjali kwa jambo dogo,wakatokea kuelewana na yule anayekondeana kwa kutaabika na ndoa yake,lakini,aidha amekosa wa kumliwaza,au kukwepa kuzini kama anavyoshauriwa mwenzetu na wengine humu ndani..
 
(kinamama tafadhali msisome hii post yangu):
jamani jamani wanaume wenzangu unawezaje miaka saba unalala na mwanamke mmoja tu? Inasadikika kweli dunia hii ya vitop na migongo wazi?
Sikiliza Prof Eng,TII KIU YAKO,fanya hivyo kabla stress za matamanio hazijakupanda kichwani.Tafuna hiyo kitu fasta aisee na roho yako itapata afueni!
 
punguza ukaribu,na maongezi kati yako na yake yawe ya kazi tu,
 
Umerogwa na mchawi alisha kuwa marehemu.

huenda na wengine wamerogwa na wanahisia kama hizo kwa my wife wako.

Be strong man!!!! acha hizo... tunza ndoa yako
 
Back
Top Bottom