Jamani nimeshindwa kuvumilia....

Jamani nimeshindwa kuvumilia....

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,760
Nimewamic kweli,wa kwanza ww unaeisoma post hii.hata wewe ndio na huyo pia.jamani poleni na janga ckuwepo nilikwenda kijijini kwenye paliz.kumbukeni nawapenda wote.
 
Nimewamic kweli,wa kwanza ww unaeisoma post hii.hata wewe ndio na huyo pia.jamani poleni na janga ckuwepo nilikwenda kijijini kwenye paliz.kumbukeni nawapenda wote.



we kokudo!!!!!!! hbr za palizi???


ama kweli ninabahati ya kukusoma kaka kokudo
 
Kokudo nakumbuka uliaga, karibu sana mjukuu wa kiume!! Huku MMU hatujambo!! Vipi umetuletea nini kijijini huko???
 
Mhhh sio mchezo,haya karibu sana mkuu!
 
Back
Top Bottom