Jamani nimsaidiaje uyu Msichana?

Jamani nimsaidiaje uyu Msichana?

Linaweza kuwa jambo la busara kuachana naye. Masikitiko ya huyo jamaa aliyemgharimia yanaweza kuifanya ndoa yako isiwe na amani wala raha. Ningekuwa wewe, ningeachana naye tu. Wanasema mtendee mwenzako kila ambacho ungependa utendewe. Huyo binti inaonekana hivi sasa kinachomsumbua ni tamaa tu. Anaona status yake ya sasa haiendani na ya yule mwalimu wa shule ya msingi. Shame on her.
<br />
<br />
Nashukuru kwa maneno yako ya hekima..nimefarijika sana kwa ushaur wako!
 
Mkuu hebu muache huyo binti na ututake radhi walimu haraka, yani unakula demu wa mwalimu!

Tena mwambie huyo demu akimtosa teacher ataharibikiwa maishani mana kamshahara ka teacher ukikafisadi hata Mungu hatamsamehe!
 
kumwacha ni jambo jema sana maana utakuwa umeifanya halali kuwa halali <br />
na kuifanya haramu kuwa haramu
<br />
<br />
asante mkuu...nilijihs kama nitakuwa namtendea visivyo!nimeweka hapa sabab dhamila yangu si butu,nina chembe ya ubinadamu,amekuwa akiniandkia msg za masiktiko sana
 
Wasalaam ndugu wapendwa.. Nina mpenzi wangu kwa zaidi ya miaka mitatu,tulifahamiana wakat huo yeye akiwa bado chuoni,nilimpenda kweli na yeye nafikir alinipenda..tumeendelea kwa furaha muda mrefu,lakini badae nikaja kugundua ana mtu uko kijijini kwao,ni mpenzi wake toka wakiwa secondary,ila jamaa ni ticha ya primary anampenda sana uyu mdada...nilipogundua nilifuatilia bila mpenzi wangu kujua..badae nikamwambia...Alilia sana,akakiri kuwa jamaa anampenda sana ila yeye hamfeel jamaa..ulikuwa eti ni utoto wa kishule shule,lakin jamaa anafahamika kwa wazazi wa mwanamke,amemsaidia sana wakati mwanamke akiwa chuo..boom likiisha jamaa ana-supply mkwanja. Lakin mwanamke anasema jamaa si wa ndoto zake,ni kweli alimsaidia na huwasaidia pia wazaz wake uko kijijini..lakini haisi kuendelea kuwa nae!jamaa nae analalamika,anahuzunika kuwa kaghalamia na mshahara wake wa ualimu..hawezi kumwacha msichana Mi sitambuliki kwao,japo msichana ananipenda,analia sana..wiki jana nimempa msimamo kuwa sitaendelea nae!frankly speaking alizimia around 45 minutes...analalamika kanipenda,hajisikii kuendelea na jamaa..na mimi namwonea huruma mwalimu(boyfriend wake),ananung'unika sana,analalamika kaibiwa mjini na mbaya zaidi jamaa hana access ya kuja mjini...NIMEAMUA KUJITOA NIMWACHE JAPO NILIMPENDA SANA NA HAPA MJINI NIMEMPA KAMPAN SANA YA KUPATA KAZI!
<br />
<br />
mi naona unadanganya tu we jamaa
 
Mkuu hebu muache huyo binti na ututake radhi walimu haraka, yani unakula demu wa mwalimu!<br />
<br />
Tena mwambie huyo demu akimtosa teacher ataharibikiwa maishani mana kamshahara ka teacher ukikafisadi hata Mungu hatamsamehe!
<br />
<br />
Basi nimekuelewa mkuu,usitumie lugha ngumu ivo,NIMEMUACHA
 
Kuna haki y mtu kupata na kufurahia anachokipenda, km mwl alipendw na ss hapendw hn sbb z kulialia kw ss km n pesa alitoa n jambo l kawaid wanaum k2mia pes haijalish n kiac gan ,huyo dd asilzimishw kwend asikopend km jamaa anaring bac huy dd atampt mwngn,pia wanaume tutambue kuw misaad tunayojisikia kuwap wasichan huk tukingoja fadhil za mapenz hiz n rushw na pia huwafany wajickie kudhalilishw,ndio maan huw wanashindw kutofautisha wema na rushw,so tusitumie advantage za matatizo yao ,True love don't cost a thing.
 
Walimu tuna hali ngumu, posho ze2 wadhulumu, mapenzi nayo tudhulumiwe, dah! Pole yake mwalim huko kijijini ila itabidi ajitaftie mwalim mwenzie....ambae ataridhika na kipato cha ualimu......!
 
Kuna haki y mtu kupata na kufurahia anachokipenda, km mwl alipendw na ss hapendw hn sbb z kulialia kw ss km n pesa alitoa n jambo l kawaid wanaum k2mia pes haijalish n kiac gan ,huyo dd asilzimishw kwend asikopend km jamaa anaring bac huy dd atampt mwngn,pia wanaume tutambue kuw misaad tunayojisikia kuwap wasichan huk tukingoja fadhil za mapenz hiz n rushw na pia huwafany wajickie kudhalilishw,ndio maan huw wanashindw kutofautisha wema na rushw,so tusitumie advantage za matatizo yao ,True love don't cost a thing.
<br />
<br />
mkuu mimi sijamwacha kwa hila wala sikumbuki ata wema nliomtendea..na hakuwa na kazi,nilikuwa na utaratibu wa kumpa viela kila mwezr,ata baada ya kumwaacha niltaka kuendelea lakn ye amekataa,na amejishkia uchungu sana...SASA MI NIFANYAJE!EBU NIAMBIE
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mkuu mimi sijamwacha kwa hila wala sikumbuki ata wema nliomtendea..na hakuwa na kazi,nilikuwa na utaratibu wa kumpa viela kila mwezr,ata baada ya kumwaacha niltaka kuendelea lakn ye amekataa,na amejishkia uchungu sana...SASA MI NIFANYAJE!EBU NIAMBIE
<br />
<br />
GD I beg to differ with you and your suppoters. Mahusiano ya mapenzi hayako hivo, mke niliye naye kwa mwaka wa nane wa ndoa yenye furaha
sasa alikuwa kwenye hali kama hiyo. Jamaa alilia sana hata ningemwachia yawezekana ndoa yao isingekuwa ya furaha, ifahamike kuwa mahusiano ni business na kila business ina risks zake. Mwalimu huyo ajilaumu mwenyewe atasomeshaje kwa malipo ya kuoa? Wewe bwana kama mwanamke unampenda oa haya maswala wanawake siku hizi wanapenda material things haya yapo na ni world wide, mkono mtupu haulambwi na hakuna nchi isiyo na rais
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
GD I beg to differ with you and your suppoters. Mahusiano ya mapenzi hayako hivo, mke niliye naye kwa mwaka wa nane wa ndoa yenye furaha<br />
sasa alikuwa kwenye hali kama hiyo. Jamaa alilia sana hata ningemwachia yawezekana ndoa yao isingekuwa ya furaha, ifahamike kuwa mahusiano ni business na kila business ina risks zake. Mwalimu huyo ajilaumu mwenyewe atasomeshaje kwa malipo ya kuoa? Wewe bwana kama mwanamke unampenda oa haya maswala wanawake siku hizi wanapenda material things haya yapo na ni world wide, mkono mtupu haulambwi na hakuna nchi isiyo na rais
<br />
<br />
Duhduh nimeona busara zako za kiutu uzima,zimejaa uzoefu na hekima!you made the hard feeling of my day!......NILIKUWA NAMPENDA SANA!lakn manung'uniko ya jamaa yanaweza yakaikosesha aman urafki wetu.
 
GD achana na urafiki bro fuata moyo wako, usisikie la mtu labda unaona humpendi sasa na hicho ndicho kisingizio cha kumwacha. Kama huyo mwalimu ni rafiki yako jaribu kumwelewesha akubali hali halisi la hataki chukua mtu wako and move on.
 
GD achana na urafiki bro fuata moyo wako, usisikie la mtu labda unaona humpendi sasa na hicho ndicho kisingizio cha kumwacha. Kama huyo mwalimu ni rafiki yako jaribu kumwelewesha akubali hali halisi la hataki chukua mtu wako and move on.
<br />
<br />
i ever come across wth a teacher...i used to hear him!and he one day made a call to me!...naisikiliza sauti ya moyo wangu...napenda kuitii!hisia zangu ni za upendo wa kweli..bt hard time to decide
 
Walimu tuna hali ngumu, posho ze2 wadhulumu, mapenzi nayo tudhulumiwe, dah! Pole yake mwalim huko kijijini ila itabidi ajitaftie mwalim mwenzie....ambae ataridhika na kipato cha ualimu......!
<br />
<br />

duh taratibu mkuu
 
Back
Top Bottom