The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Baada ya miezi mitatu ukapime na VVU maaana ni vizur kutambua kama huna au unao!!!!!!
Dokta kanipima...Kasema nina UTI....Ila sasa kaniandikia ciproflocaksin 1. Erythromycin dozi nzima na Doxy dozi nzima. Kwa utafiti wangu hii dozi ni ya Gonorrhea kama ni UTI kwa nini hakunipa cipro peke yake? Cha kushangaza zaidi dalili za Gonorrhea.
ciprofloxacin ni kwajili ya uti na typhoid fever,uti wewe c umepimwa? ndo ukagundulika unayo pa1 na typhoid? vile vile kakusaidia kukutibu na typhoid mshukuru.unazijua daliki za gonorrhea? na umepima? uti yako ni chronic. msituonee madaktari.mimi nakutibu kutona na maelezo yako ukinificha shaur yako.