The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Dokta kanipima...Kasema nina UTI....Ila sasa kaniandikia ciproflocaksin 1. Erythromycin dozi nzima na Doxy dozi nzima. Kwa utafiti wangu hii dozi ni ya Gonorrhea kama ni UTI kwa nini hakunipa cipro peke yake? Cha kushangaza zaidi dalili za Gonorrhea.