Jamani nipeni RUKSA mama wa miaka 56, i am 24yrs

Angalia kwa makini achana naye maana takwimu sasa zimegeuka na zinaonyesha kuwa wale wanaoishi ktk ndoa asilimia kubwa sana wana WEAPON OF MASS DESTRUCTION (WMD) YAANI SILAHA ZA MAANGAMIZI. NAKUSHAURI ACHANA NAYE KABISA. hasa kwa kuwa una GF wako sasa umekosa nini uanze kujitumbukiza huko? ungekuwa umeoa ningekushauri tofauti maana ww sasa ndio unaanza kurina asali ya GF wako au siyo tamuuu? au nyuki wake wadogo wanakun'gata sana. Basi kuwa mwangalifu kaka mimama hiyo ndiyo siku hizi inabeba WMD usikubali
 
many thanks wapendwa, ila jana Ijumaa, My GF kama kashtuka vile, kaniuliza huyu mama Jirani mbona kama anakungolea macho? nikajifanya sijasikia vizuri, akarudia, nikamwambia huyu mama yaani yupo almost everyday hapo barazani kwake, sasa nikipita ananisalimia, ila nikamwambia huyu kizee ananittolea macho unazania ananitamani? Heee my GF hakujibu, akasema take care..., eehh nilishtuka kidogo,
 
Tutakupa ruksa kama mambo yafuatayo ni kweli kwani hakuna masharti ya umri katika kuoana.
1. Huyo 56 hana mume.
2.Mwenyewe huna mke na lengo lako ni kutaka kumwoa kiukweli.
3.Lengo ni kumwoa sawa na ungemwoa binti wa rika yako.
Kama unalengo jingine, samahani kura yangu hupati. Mwache bibi wa watu, utapata laana bura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…