Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada namna ya kuama chuo!plz.
Msaada namna ya kuama chuo!plz.
Umepataje chuo ili hali hujui kuandika?
Binadamu tumeumba
Wewe nawe ni muumba?
nenda chuo unachotaka kuhamia mwone admission officer akuhakikishie nafasi ipo na akupe na registration number then wataarifu tcu kwa barua ili waweze kukubadil na iwe rahis kwa mkopo wako kwenda chuo ulicho thats all about.
aisee unazani? #just kidnNazani uvivu wa.....
wazo zuri...wacha kujifanya ni Great thinker kwa kulaumu ujumbe ambao lengo umelifahamu. Binadamu tumeumba tunakosea. So kuandika kimakosa si kumpatia maneno kama hayo ilikuwa kama huwez kumshauri ilikuwa upotezee tu. Wacha kujifanya mkamilifu kwa kila jambo
Nazani uvivu wa kufikiri na upumbavu unakisumbua kichwa chako. Naomba ukutane na wataalam wa masuala ya akili ili wakusaidie zaidi. Unapotea