Jamani nisaidieni kwa anaejua dawa zaidi manake nakosa amani sana

Jamani nisaidieni kwa anaejua dawa zaidi manake nakosa amani sana

Nkissa

Member
Joined
Sep 7, 2012
Posts
51
Reaction score
9
Ndugu zangu wanajamvi mimi nina umri wa miaka 31 nimeoa na nina watoto 3 ninatatizo ambalo limenikuta ukubwani la kuanguka kifafa huwa linanitokea sana usiku wakati nimelala na mara nyingine hata mchana niliwahi kwenda hospital nikapewa dawa aina ya TEGRETOL 200mg nikatumia kwa miezi mitatu nikawa sipati tena hilo tatizo lakini baada ya miezi 2 likarudia tena sasa sijui nifanyeje manake imebidi nizitumie tena hizi dawa naombeni ushauri wenu tafadhali nawasilisha
 
Usiache kutumia hizo,nina rafiki yangu ana tatizo hilo,aliambiwa hivyo na alitakiwa kupunguza kuangalia Tv
 
Humu kuna kila kitu

Tuna mabingwa wa mabingwa na hawachokagi kusaidia pale inapobidi ni wewe tu!

Lasikoki
MziziMkavu

Hebu pitieni hapa mwoneni huyu dogo!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ndg nadhani urudi Hosp
lakini pia watAalam watakuja muda si
mrefu.
 
Ndugu zangu wanajamvi mimi nina umri wa miaka 31 nimeoa na nina watoto 3 ninatatizo ambalo limenikuta ukubwani la kuanguka kifafa huwa linanitokea sana usiku wakati nimelala na mara nyingine hata mchana niliwahi kwenda hospital nikapewa dawa aina ya TEGRETOL 200mg nikatumia kwa miezi mitatu nikawa sipati tena hilo tatizo lakini baada ya miezi 2 likarudia tena sasa sijui nifanyeje manake imebidi nizitumie tena hizi dawa naombeni ushauri wenu tafadhali nawasilisha

Mkuu pole sana... Matibabu yanategemea zaidi chanzo cha tatizo lenyewe. Nakushauri kama una uwezo jaribu kwenda hospitali kubwa kwani vitu kama cerebral cysts (ambazo ni common kwa maeneo wanayofuga nguruwe kwa free range) yanaweza kutibiwa kwa dawa maalumu au upasuaji na yakaisha kabisa...
 
Ndugu zangu wanajamvi mimi nina umri wa miaka 31 nimeoa na nina watoto 3 ninatatizo ambalo limenikuta ukubwani la kuanguka kifafa huwa linanitokea sana usiku wakati nimelala na mara nyingine hata mchana niliwahi kwenda hospital nikapewa dawa aina ya TEGRETOL 200mg nikatumia kwa miezi mitatu nikawa sipati tena hilo tatizo lakini baada ya miezi 2 likarudia tena sasa sijui nifanyeje manake imebidi nizitumie tena hizi dawa naombeni ushauri wenu tafadhali nawasilisha
Una ugonjwa unaoitwa EPILEPSY..kwahio una hitaji matibabu na antiepileptics na ndio dawa ulopewa mwanzo ni KARBAMAZEPIN(TEGRETOL) ni chaguo la kwanza kuhusiana na ugonjwa huo au unaweza kutumia VALPROAT au LAMOTRIGIN(LAMICTAL)kutokana na aina ya epilepsy.Muhimu kutoacha kutumia dawa au lah utaendelea kupata epilectics seizures kwasababu hizo dawa ndio zinakukinga na kupata hizo seizures.

Hio dosage ulopewa ya tegretol 200mg ni initial dose(start dose) ambayo unatakiwa umeze once or twice a day.Ila after initilial dose,the dosage has to be increased gradtually to a maintainance dose ambayo ni between 800-1200mg per day or to some patients 1600-2000mg per day.Kwahio lazima uende kwa daktari uongezewe dosage ya hio dawa au ubadili upate hizo nyingine nilizotaja.

Tatizo ni kwamba sijui wewe uko kundi gani la epilepsy kwasababu epilepsy imegawanyika katika makundi mawili makubwa and several sub-groups.
Primary generalized seizures begin with a widespread electrical discharge that involves both sides of the brain at once. Hereditary factors are important in many of these seizure

Partial seizures begin with an electrical discharge in one limited area of the brain. Many different things can cause partial seizures, for example head injury, brain infection, stroke,tumor, or changes in the way an area of the brain was formed before birth (called cortical dysplasias). Many times, no known cause is found, but genetic factors may be important in some partial seizures.

Ili kupata matibabu ya uhakika lazima specialist achukue MR na EEG ya ubongo wako ili ajue una aina gani ya kifafa ili upate matibabu sahihi!
 
Mimi49 umejibu vizuri sana, sina cha kuongeza kikubwa anaweza fanya ct scan kujua nini sababu ya kupata kifafa ukubwani. Kama ct scan haitaonyesha shida then dawa hizo ndo first choice and you will use for life
 
Ndugu wanajanvi yafuatayo ni majibu ya daktari baada vipimo

Without activation
Diffuse low amplitude back ground at a frequency of 7-8c/s alpha that was dominant from the occipital regions mixed with slow sharp wave in the frontal regions.

With Activation
Photic stimulation from 3 to 33Hz evoked further alpha back ground mixed with brief slow sharp waves.

Hyperventilation for 3 minutes evoked similar findings.

CONCLUSION
Nomal record with borderline features of local brain dysfunction.

haya ndo majibu na baadae ndo nikaandikiwa dawa kama nilivyoitaja hapo mwanzo na ilikuwa 14/12/2012 nawashuku sana ndugu zangu msichoke kunisaidia jamani
 
Pole mpendwa, endelea kutumia dawa na ufuate ushauri wa madaktari
 
ndugu wanajanvi yafuatayo ni majibu ya daktari baada vipimo

without activation
diffuse low amplitude back ground at a frequency of 7-8c/s alpha that was dominant from the occipital regions mixed with slow sharp wave in the frontal regions.

With activation
photic stimulation from 3 to 33hz evoked further alpha back ground mixed with brief slow sharp waves.

Hyperventilation for 3 minutes evoked similar findings.

Conclusion
nomal record with borderline features of local brain dysfunction.

Haya ndo majibu na baadae ndo nikaandikiwa dawa kama nilivyoitaja hapo mwanzo na ilikuwa 14/12/2012 nawashuku sana ndugu zangu msichoke kunisaidia jamani
dah! Pole sana ndugu yangu. Sasa waweza kurudi tena hospitali lakin kwa majibu haya mimi49 na Riwa wanaweza kukushauri zaid
 
Last edited by a moderator:
ushauri wangu nenda hospital tena upimwe brain ct scan and MRI kuna vitu vingi vinavyosababisha seizures
 
mkubwa pole, imani yangu utapata tiba inshaallah
 
ohh pole sana ndugu

all I can say ni kwamba mtu mwenye uwezo zaidi wa kukupatia tiba sahihi ni daktari wako, wengine ushauri wetu utafungwa na sababu kama vile kutojua majibu ya vipimo muhimu kama CT au MRI ya ubongo. Lakini vile vile hata examination tu ya kawaida ofisini kwa daktari iko very informative na hiyo taarifa pia tunaimisi.

all in all epipeleptic patients wengi wanaacha kumeza dawa then tatizo linawarudia, kweli zingatia matumizi sahihi ya dawa.

again pole ndugu
 
Back
Top Bottom