Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau naombeni mwenye kujua dawa mbadala maana koo linaniwasha yapata wiki 2 bila kutulia japokuwa sijawahi kutumia dawa yyt ile afu natema makohozi kama nabanja wakati sibanji!sa cjui ni nini natanguliza shukurani zangu kwa wadau
wote
Ni dalili za kifua kikuu. Ina maana hujui hospitali ?
u made my day!Ni dalili za kifua kikuu. Ina maana hujui hospitali ?
Nashukuru wakubwa ni vyema niende hospital maana ishakuwa tabu!
Mdau me umri wangu miaka 26!yaani kwa jinsi koo linavyowasha nahisi mwaka huu piga ua galagaza ni lazima ning'oke,afu cha kushangaza nkikohoa kifua kinauma na kwenye koo!bt 2mr ngoja nkacheki afya yangu maana ishaanza kupwaya
Wadau naombeni mwenye kujua dawa mbadala maana koo linaniwasha yapata wiki 2 bila kutulia japokuwa sijawahi kutumia dawa yyt ile afu natema makohozi kama nabanja wakati sibanji!sa cjui ni nini natanguliza shukurani zangu kwa wadau wote
Mdau we ni fundi sana wa kutumia TAFSIDA katika lugha!!!! Yaani dalili za kifo cha CCM umezielezea vizuri ajabu(maana zinafanana na dalili za mdudu kabisa, lazima ufe tu)...Ila umekosea umri wako bwana, naomba urekebishe.... hujawa mkubwa hivyo!!!!!
Thumbs up!!!!!!!!!!!!!!
Wadau naombeni mwenye kujua dawa mbadala maana koo linaniwasha yapata wiki 2 bila kutulia japokuwa sijawahi kutumia dawa yyt ile afu natema makohozi kama nabanja wakati sibanji!sa cjui ni nini natanguliza shukurani zangu kwa wadau wote
Wadau naombeni mwenye kujua dawa mbadala maana koo linaniwasha yapata wiki 2 bila kutulia japokuwa sijawahi kutumia dawa yyt ile afu natema makohozi kama nabanja wakati sibanji!sa cjui ni nini natanguliza shukurani zangu kwa wadau wote[/QUOU
Umepata allergy ya dawa au chakula fulani au kitu fulani (perfume,sabuni nk).
Kama unachotema sio rangi ya njano,tafuta ( benlyn cough syrup) ambayo ni best (5,000/= tu),lakini ukitema makohozi ya njano inabidi umone mganga anweza kukupa (antibiotic na cough syrup)pole sana
Hapana Baba Mtu nilishaenda nkamueleza doctor amenipa PEN V kumbe nlikuwa na madonda kwenye koo sababu ya maji baridi!nashukuru sana wadau kwa ushauri wenu na kunipa moyo maana me kwa sasa nipo poa sana!