Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 750
- 656
Naombeni mnisaidie mnaoijua shule hii ya Kalangalala,Geita!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kumbukumbu zangu,inaonyesha hii shule iko Kongo-kinshasa na sio tanzania.over
Acha mambo ya ajabu kama hukutaka kunisaidia si ungekaa kushoto? Mbona mnakosa hata moyo wa huruma jamani,mm nimeuliza kwa heshima na taadhma lakn ww sijui kw nn unakosa adabu kiac hicho,hv ww wa wapi? Kama ni mtu mzima nisamehe ila kiukwl huna adabu!
sasa kosa ni kukuambia hyo shule iko congo au?ndo ukweli wangu huo lakn mkuu,wat i know hyo shule iko congo na co tanzania.over
Usaidiwe nini? Nafasi ya kusoma au nafasi ya kufundisha? Eleweka tafadhaliNaombeni mnisaidie mnaoijua shule hii ya Kalangalala,Geita!
Hii shule ipo geita ni shule mpya kwa michepuo ya sayansi ila inaupungufu mkubwa wa walimu kwaiyo kazi ni kwako kijana
Ndio ina michepuo ya arts pia lakini ni shule mpya kwa mchepuo wa sayansi.hostel zipo