Jamani nisaidieni mwenzenu wana jf

magori81

Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
22
Reaction score
11
Nilioana na mume wangu miaka mitatu iliyopita,tumebahatika kupata mtoto mmoja.Bahati nzuri alipata nafasi ya kwena masomoni nnje ya nchi miaka miwili iliyopita. Tatizo langu ni kwamba ninashikwa sana na tamaa za mwili kiasi kwamba najikuta natamani kumsaliti mume wangu! nafsi yangu inanizuia lakini nateseka sana.naomba ushauriwenu wana JF
 
KInamama karibuni kwenye uzi huu,ukumbi ni wenu.

Wanaume (hasa wale wakware) msikanyage hapa.
 
unatamani kusaliti? mh kwani kuvumila umeshindwa kabisaaa. we mwanamke mwenzangu vumilia bhana kuwa na staha na ndoa yako
 
Yani unashindwa kukontrol tamaa za mwili? Kama kweli huwezi kuzikontrol... "Njoo ufanyiwe maombi".
Miaka miwili mbona michache, Chunga tamaa mbaya zina madhara.
 
Pole sana, shetani huyo. Acha kuangalia porn, fanya mazoezi, piga ibada...yatakwisha tu. Tamaa unaweza kui-control.
 

mwambie arudi au akutumie tiketi mkaduu...
 
Mwombe Mungu Akuepushe na hizo tamaa, zingatia sana kumwomba Mungu, kama wewe ni Mkristo Okoka kabisa, na kama ni mwangaliaji wa porn acha, piga zoezi, acha kuwaza sana mambo ya chumbani mliokuwa mkiyafanya wewe na mumeo(Punguza imaginations), jifunze kuishi kama mjane, vikizidi jikande na maji ya vuguvugu maeneo kupunguza mhemko.WAZO LA KUMSALITI MUMEO ACHA KABISA, OUTCOME YAKE NI MBAYA SANA.
 
We acha kutuzuga mbona unaonekana ushakula tunda msaliti wewe acha kutuchuza
 

Sikiliza ushauri huu.UKITOKA NJE YA NDOA UNAWEZA KUIBUA MATATIZO MAKUBWA KUSHINDA HIYO YAKO YA MIHEMKO.
 
Ongea nae pia, labda anaweza kujipanga awe anakuja mara kwa mara. Ila kusema ukweli mi sioni kama ulitakiwa kuweka shida yako hapa sababu sasa tuna jua wote there is a vulneralbe, lonely horny woman, tempted to cheat, out there... Unadhani nia ya members itakua nini sasa? Au ndio lengo?
 
Vumilia Mbona Mkubwa Huko Masomoni anavumilia.
 
Kwa tatizo lako linahitaji nikushauri face 2 face. niPM number yako nikutafute 2kae eneo 2livu ili nikushauri.
 
Kwa tatizo lako linahitaji nikushauri face 2 face. niPM number yako nikutafute 2kae eneo 2livu ili nikushauri.

hivi nyie midume mnatafuta nini kwenye hii thread,in my considered opinion,uzi huu ni strictly for women.
 
nakushauri ukizidiwa uwe unapiga punye. pia ondoa mawazo ya tendo la kikubwa. mwisho kabisa sex phone ihusu hapo.
 
vumilia tu mpz wangu mana hilo jaribu ni kali sana mfano mm nikiwa mbali na mchumba wangu na nikimmisi sana ninachofanya ni kumpigia simu na kuongea naye sana au kama yuko online tunaongea through webcam so nikimuona na kuongea naye sana mnacheka then unasahau mauchungu so fanya ivo itakusaidia kuliko umsaliti mume wako mana akijua itamuumiza sana na pia hata ww kama unampenda sana itakua inakusuta kila siku mpaka utakonda kwa cri uliyobeba rohoni ya usaliti ok mamy....................kama utaupenda ushauri wangu utakusaidia ok
 
hivi nyie midume mnatafuta nini kwenye hii thread,in my considered opinion,uzi huu ni strictly for women.

tatizo thread inavutia!! mungu thi athumani unaweza uka2nukiwa! thi unajua jamaa yupo mathomoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…