Jamani nisaidieni mwenzenu wana jf

Dah! UH + ++ inakupa mtihani mgumu sana...pole sana...ongea na mume wako labda anaweza kutafuta namna ya kukusaidia. Kila la heri.
 
Achana na mawazo ya ngono, mazungumzo machafu, fanya ibada, acha kuangalia filamu za papenzi, usipende kukaa pekee yako, tune your brain kwenye mabo muhimu, kataa hayo mawayo mabaya, ongea na mtu wa karibu juu ya hilo tatizo na utapona.
 
hata mimi nina matatizo kama wewe,ni pm basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…