Jamani nisaidieni ndoa yangu

Jamani nisaidieni ndoa yangu

....aah, huenda mumeo ni obese, au au nawe umejisahau ushapoteza mvuto. Huenda ana ugonjwa wa kisukari. hivyo kuathiri nguvu zake za kiume. Au, pengine tendo la ndoa baina yenu lilishaacha kuwa ni starehe, likapitia kipindi cha 'wajibu', na sasa hakuna mvuto tena kwake kuwajibika kwako.

Jaribuni kubadili mazingira, uwezo mnao...siku moja panga 'honeymoon' um surprise... hakikisha Ijumaa, jumamosi mpaka jumapili mnaitumia nyie wawili pekee hukooo kwenye fukwe za maraha,... Jipeni walau siku tatu mbali na familia, biashara na ajira zenu ambazo naamini zimechangia stress kwenye maisha yenu.

Inawezekana.
 
Safina, hili ni janga kuu. Naomba nikuulize kwanza swali moja kabla sijaendelea, Hukuwahi kuhisi kuwa kuna sehemu mbadala anamalizia haja zake?
 
Safina, ongeza utundu. Sijawahi hata siku moja kumuomba mke wangu wala yeye kuniomba. Huwa inakuja automatically tu. Sasa nashangaa kama wewe nyie mnalalaje hapa kitandani hadi mhitaji kuombana. Au hata kumshika au kumkumbatia hairuhusiwi kikwenu?
 
mimi kwa kweli mila za kipuuzi hizi nazipiga chini hata bil akuulizia. Hii ni haki ya msingi kwa mwanandoa, iweje bibie uteseke kwa miezi yote hiyo kwa kutopata 'conjugal rights zako??

plz plz hebu vunja huo ukimya zungumza na mumeo. vinginevyo utajikuta unafanya uamuzi mbaya sana kwa sababu kila kitu kina mipaka. kuna siku huo uvumilivu utakushinda ukaingia majaribu ya kutafuta pa kupoozea

kila mtu na lake kwenye ndoa, khaa! mie ikipita week kama wote wazima najiuliza kulikoni, hata uchovu huwa unawekwa pembeni...mhh na hizo mila nazo kiboko khaa mie zingenishinda mwenzenu, mana csubirigi kuombwa mie, jamani nyie ni wanandoa hebu fanya manjonjo bwana kumshtua huyo mtu, ina mana hata joto la mwili wako halimccmui, hata kumgusa kiuchokozi bac jamani...
 
B nakubaliana nawe kabisa kwamba mila nyingine zimepitwa na wakati. Hata haya mambo mke haruhusiwi kumuomba unyumba mumewe ni ya kizamani na hayastahili kabisa kuwepo katika dunia ya leo. Yaani mke anakata mwaka bila kuguswa na mumewe! na akimshamgusa hiyo mara moja baada ya mwaka anaweza kukata miezi sita au hata zaidi kabla ya kumgusa tena!!!! hiki ni kitu cha kushangaza sana, labda jamaa ana matatizo ya kiafya lakini hiki si kitu cha kawaida hata kidogo.



kweil kabisa BAK, mana kwenye hali halic kwa kweli hii kitu ngumu, hata bila kuombwa lakini ni ngumu mkalala miezi 6 patupu tu jamani, nadhani kuna wakati watu mna mhemko ukimgusa kiddunchu tu mwenzio shughuli pevu, sasa huyu mwenzetu kweli cjajua ni nini, mdada nakushauri le hebu fanya vituko humo ndani, au ndio na wewe mila zinakubana hata vituko vya kimapenzi huviwezi?.....natamani ningeongea na wewe live leo leo huyo bwana angelianzisha.
 
........Pole sana Safina, miezi 6-8 kitanda kimoja mke na mume hivi hivi bila mchezo mbona hilo jaribu kubwa sana. Hayo mambo kwamba mwanaume ndio aanzishe kutaka libeneke kila siku limepitwa na wakati. Changamka mdada, hebu muanze mumeo uone atarespond vipi, onyesha manjonjo yako shost usisubiri mumeo kuanza.

.......Miaka 16 kwenye ndoa mbona mtakuwa mmezoea sana tu.......sielewi kwa nini unaona haya kumwambia kwamba una hamu.Sielewi jinsi mnavyoishi ila mimi nipo wazi sana kwa mume wangu na mume wangu ndio rafiki yangu na mtani wangu kwa sana tu. Hivyo kama mnataniana wewe siku mwambie tu ukweli kuhusu ukimya wake kwenye tendo la ndoa. Usije kukutana mumeo labda ana matatizo ya nguvu za kiume ndio maana hana hamu ya tendo...........toa ukimya zungumza naye ujue tatizo nini.

well said maa...... wngine sie vitendo tu vinatosha, kuongea tutaongea tukihic kuna shida/tatizo mahali, sasa huyu kweli mie cjamuelewa, hebu leo fanya mautundu bwana huyo mt mzindue ucngizini.
 
safina, samahani naomba nikupe ushauri mmoja kabla sijaenda mbali; ukitaka fair advice, omba ushauri kwanza kwa wanaume kuhusu mambo ya mikasi!!... soma kitabu kimoja kinaitwa think like a lady, act like a man cha steve harvery. huyu bwana ana statement moja aliyoiweka which is very important --- anasema tatizo kubwa la wanawake ni kutaka ushauri wa matatizo ya ndoa kutoka kwa wanawake,,,, wanawake wote wote wanakua side moja.

hayo ya kusema kabila letu eti hatuombi kile kitu, huo pia ni uchemfu na siajabu ndicho kinachoboa huyo mwanaume...kumbuka wanawake anaokutana nao mtaani si wa kabila lenu therefore you should get out of the shell and be a wife and a life partner and not mke -kabila. learn what he likes, be what he dream of a womna

.... badilika, na muanze upya... communicate more, enjoy more and share more

kuwa aggressive, maana wanasema ushikwapo, shikamana
hapa umeua MICHAEL JACKSON:ranger::ranger::ranger::ranger::ranger::ranger:
KARIBU KAHAWA!
 
wewe mdada hauko serious kabisa . dah! miezi 6 jamaa anakunyima vuvuzela na wewe bado haujaelewa tatizo ni nini? na unasemaga mshaishi miaka 16? hii kesi ni nzito kuliko rada ya mkapa.

chukua karatasi na kalamu na fanyia kazi haya,na ni muhimu sana kufuata hizi step kama zilivyo (una bahati sana kushauriwa na klorokwini).
1)weka mazingira ya kuvutia katika mwili wako(dress sexy),use your body language e.g tuning your voice.
2)Try to turn him on.e.g. jaribu ku whisper naughty talks in his ears, mkamate kamate yale maeneo ya 18 .etc etc

KAMA STEP HIZO 2 HAZIKUFANYA KAZI HAPO JUU INABIDI TUENDE KWENYE ALTERNATIVES
ambazo ni negative sides za huyo mume wako.
3)jaribu kumuuliza kiupole kabisa ,je ana matatizo ya kiafya? akijibu yes ,shirikiana nae ili mkatafute suluhisho ,akisema NO, hapa itabidi uanze kuchunguza mwendo wa mume wako ,
4)je hajajiingiza kwenye mambo ya ushoga?

N:B. tatizo la nyumba ndogo mimi haliniingii akilini kwasababu mwanaume wa kweli hata kama atakuwa na nyumba ndogo lakini hawezi kukaa miezi sita bila kurembea dozi kwa bimkubwa.

dah! ama kweli dunia duara, yaani mimi waifu akihema tu gemu linaanzishwa samtaimu bila warm up,kumbe kuna wafuasi wanauchuna miezi 6? :help:
 
naona Nayeye mwanaume kachoka kuanza kila siku... hata yeye anataka ku-feel wanted and desired ...If you come to think of it...its not that hard to seduce a guy.... specially kama umeishi nae miaka yote hiyo...
 
wewe mdada hauko serious kabisa . dah! miezi 6 jamaa anakunyima vuvuzela na wewe bado haujaelewa tatizo ni nini? na unasemaga mshaishi miaka 16? hii kesi ni nzito kuliko rada ya mkapa.

chukua karatasi na kalamu na fanyia kazi haya,na ni muhimu sana kufuata hizi step kama zilivyo (una bahati sana kushauriwa na klorokwini).
1)weka mazingira ya kuvutia katika mwili wako(dress sexy),use your body language e.g tuning your voice.
2)Try to turn him on.e.g. jaribu ku whisper naughty talks in his ears, mkamate kamate yale maeneo ya 18 .etc etc

KAMA STEP HIZO 2 HAZIKUFANYA KAZI HAPO JUU INABIDI TUENDE KWENYE ALTERNATIVES
ambazo ni negative sides za huyo mume wako.
3)jaribu kumuuliza kiupole kabisa ,je ana matatizo ya kiafya? akijibu yes ,shirikiana nae ili mkatafute suluhisho ,akisema NO, hapa itabidi uanze kuchunguza mwendo wa mume wako ,
4)je hajajiingiza kwenye mambo ya ushoga?

N:B. tatizo la nyumba ndogo mimi haliniingii akilini kwasababu mwanaume wa kweli hata kama atakuwa na nyumba ndogo lakini hawezi kukaa miezi sita bila kurembea dozi kwa bimkubwa.

dah! ama kweli dunia duara, yaani mimi waifu akihema tu gemu linaanzishwa samtaimu bila warm up,kumbe kuna wafuasi wanauchuna miezi 6? :help:
HAhaa imeshakuwa vuvuzela tena ..... ushauri mzuri
 
😛ound: ningekushauri lakini umeamua kuomba ushauri kwa wadada wenzako walioolewa nami ni mwanaume. nakuombea ili mungu akupe haja ya moyo wako kupitia kwa mr wako na si vinginevyo! kila la heri safina!

Soma vizuri sreadi yake umalize usiisome nusu. Kama una Ushari mpe usijitetee hapa.
 
mmmmh! hili nalo zito... sijui ni mila au ni "heshima"...nipo kama nakuona unaingia kwenye ule uwanja wa mapambano na combat! Sijui huwa unavaa nini? Je? Kwa mila hizo unaruhusiwa kupunguza vipande vya vivazi unapokwenda kulala? Au utakuwa umemvunjia Mumeo heshima? Huwa mnakwenda kulala pamoja? Au yeye akimaliza kula na kusoma gazeti lake...anatangulia kulala na wewe unaendelea kusafisha vyombo kufunga nyumba na ukifika chumbani kalala? Hapo nyumbani vipi? Maana umesema mnasaidia ndugu vizuri tu...Je ni vizuri ya wakwe, mawifi, ndugu zake na zako wapo hapo kwenu? Haya yote yanaweza kwa namna moja au nyingine kuendelea kukutesa.

Kama wewe na mumeo mmekamata Mila kihivyo...si ajabu kama mna mama hapo ndani anaona si mila kula vyake mama yupo chumba cha pili...na zile preparations za awali zinakuwa ngumu maana hata mkikaa sebuleni wote MAHESHIMAAAAAAAA! Hebu mchokoze huyo! Wewe nawe mvivu bwana...sasa wewe na binti yako hapo nyumbani tofauti yenu nini? Ashakumsi....

Hao shosti wako wanaangalia raha ya unyumba katika mali, na hili ndilo mwanzoni lilikuwa linakutia moyo...kama ni mali ungeipata kwenu..wee si mjasiriamali? Miezi nane nae yupo tu kabeba huo mzigo? Weee dada! Haaaa!
 
Pole sana dada yangu.
Jaribu mjichunguze kuna vi2 viamiss kwenu. Siku za mwanzo ilikuwaje? nayo mlikuwa mnakaa miezi 6? Hali hii imeanza lini. Je kuna biashara aloianzisha ambayo inahitaji kuangaliwa kwa uangalifu? Je wewe unamchukuliaje mumeo umwonapo?

Utundu wako kunako issue ukoje. Anapendelea aina gani ya mchezo? Nk
Wewe suala la kuomba unyumba kwa mumeo sio lazima useme mi nataka! Kha! Hata body language mama hujui? Yaani mwenzako akijipenyezea mkono mpaka ukafika ikulu anatafuta nini? Jamani kweli wadada wengine wa nidhamu ya KIJESHI du!
Kuna dada mmoja ka wewe hivyo hivyo. Ilibidi aende kwa babu kujua kulikoni. Jamaa (babu aka mganga wa jadi) akagundua kuwa mama si msafi kiivo saa zote ana tuarufu twa samadi plus kajasho akilala kaarufu kanamkera jamaa. Akazunguka nyuma ya nyumba kaja na majivu akampa shrti la kuoga mara tatu kwa siku halafu akamwambia kuna dawa inabidi aache fedha aitume wadudu wamletee. Shs ngapi babu? Laki moja kwa kuanzia. Mama akatoa kwa haraka. Jamaa kenda dukani kaja na manukato na udi kampa mama kaambiwa kila akioga ajipake na kujifukizia na abadilshe nguo. Jamaa kuja kaanza kuona mabadiliko kidogokidogo mama anang'aa ananukia uturi. Jamaa akamrejea mkewe. Kisa USAFI tu.
 
Eeka Mangi (kwa maana halisi...asante mkuu), Hili ni kweli kabisa...na jinsi mlivyo na heshima si ajabu mumeo anaogopa kukuvunjia heshima kukwambia. Usafi ni jambo kubwa sana! Unafanya usafi wa jiji? Kina dada wengi wanaoga wima wima...ukija kwenye nguo za ndani ndio usiseme...nje mtu mambo safi! Nguo zimemkaa vizuri.. ngoja afunue rinda ... 😛uke:, akifungua mdomo unajiuliza doh! Huyu kala nini?
 
Ndoa ni furaha na karaha pia
Usichukie maraha yanapoingia sajala
Kaa chini kwa hekima msemezane
Kunyimana unyumba ni kosa la kiimani na kimwili
Akili na kidimbwi hamu ububujika
Kiama na roho kupasuka pale kibubu kinapokosa shilingi
Kwa makini wewe na Mayenje mkae chini mlonge kwa ufanisi
Kupelekwa Ngwasuma, break point na Makumbusho siyo hoja
Ila hekima itumike kumsitiri mumeo kama perfomance imepungua
 
kwenye ndoa kuna nini jamani???

dada umejaribu kuongea na mumeo juu ya suala hili?

Pole sana aisee.....
usijaribu kuingia kwenye ndo.!!!! ndo maana mimi bado nipo nipo kwanza!
 
naona Nayeye mwanaume kachoka kuanza kila siku... hata yeye anataka ku-feel wanted and desired ...If you come to think of it...its not that hard to seduce a guy.... specially kama umeishi nae miaka yote hiyo...
wanawake kama nyie mnatakiwa kupewa uwaziri wa gender bila kupata ubunge!!!

kagua nimrfanyia nini this useful post
 
Du ngoja nimalizie weekend yangu mungu akijaalia uzima jtatu nitatoa mchango wangu ,pole sana safina
 
Safina, ongeza utundu. Sijawahi hata siku moja kumuomba mke wangu wala yeye kuniomba. Huwa inakuja automatically tu. Sasa nashangaa kama wewe nyie mnalalaje hapa kitandani hadi mhitaji kuombana. Au hata kumshika au kumkumbatia hairuhusiwi kikwenu?

Vangi safi sana!

Nadhani hapa lazima Safina atumie ubunifu wa asili + akili za kuzaliwa (common sense)!
 
Back
Top Bottom