Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 294
Hi wana jamvi, mi mwenzenu nina tatizo kidogo naombeni mchango wenu wa mawazo.
Ni binti, mtoto wa marehem shangazi tumeishi naye toka mdogo tulipendana sana na hatukuwai kumbagua. ivi majuzi alipata kazi mkoani dodoma uko alianza mawasiliano na mwanaume na alianza kumpenda ila hajawai kumuona sababu uyo mwanaume yupo DAR. Kwa upendo tu alituomba mimi na mdogo wangu twende tukamfahamu uyo shemeji sababu tuko naye uku uku Dar na tumueleze anaonekaneje sababu yeye hamfahamu, tulipoonana na shem kwa bahat mbaya akavutiwa na mdogo wangu na wakaanza mahusiano kwa siri. Baada ya muda kidogo mtoto wa anti kapata likizo ya kuja dar kusalimia na lengo kubwa ni kumjua zaidi uyo mpenzi aliyempata kwenye simu.WAliponana uyo mkaka akagundua kuwa mdogo wangu ni mzuri kuliko mtoto wa anti hivyo ak.amwambia kuwa wawe marafiki tu sababu amempenda zaidi mdogo wangu kuliko yeye. Hapo mtoto wa anti alipata hasira na kuichukia familia nzima na mpaka natuma posti hii ameondoka nyumbani na anatuita sisi wote ni wasaliti.hapa nina hofu mama akijua tatizo lililimfanya aondoke nyumban pia mi bado namkumbuka na kumpenda sasa sijui nimwambiaje ili aweze kurudi nyumbani. wana jamvi nisaidieni nimwambiaje
Ni binti, mtoto wa marehem shangazi tumeishi naye toka mdogo tulipendana sana na hatukuwai kumbagua. ivi majuzi alipata kazi mkoani dodoma uko alianza mawasiliano na mwanaume na alianza kumpenda ila hajawai kumuona sababu uyo mwanaume yupo DAR. Kwa upendo tu alituomba mimi na mdogo wangu twende tukamfahamu uyo shemeji sababu tuko naye uku uku Dar na tumueleze anaonekaneje sababu yeye hamfahamu, tulipoonana na shem kwa bahat mbaya akavutiwa na mdogo wangu na wakaanza mahusiano kwa siri. Baada ya muda kidogo mtoto wa anti kapata likizo ya kuja dar kusalimia na lengo kubwa ni kumjua zaidi uyo mpenzi aliyempata kwenye simu.WAliponana uyo mkaka akagundua kuwa mdogo wangu ni mzuri kuliko mtoto wa anti hivyo ak.amwambia kuwa wawe marafiki tu sababu amempenda zaidi mdogo wangu kuliko yeye. Hapo mtoto wa anti alipata hasira na kuichukia familia nzima na mpaka natuma posti hii ameondoka nyumbani na anatuita sisi wote ni wasaliti.hapa nina hofu mama akijua tatizo lililimfanya aondoke nyumban pia mi bado namkumbuka na kumpenda sasa sijui nimwambiaje ili aweze kurudi nyumbani. wana jamvi nisaidieni nimwambiaje