jamani nishakosa chuo

MKUU ROMBO unapenda mbege wewe lakini mbege ya rombo haijakuta ya huku kwetu marangu babangu
 
Aiseee baba yangu msishangilie kwanza mmaweza kuta hampati boom na ada ni m 1 na nusu mkaja tena humu janvini mnalia

ngoja nipate mbege mie

daah mangi science nikose boom kweli
 
mwanangu una iyo wenge hadi basii
embu tembelea akaunti yako ya tcu kuna ujumbe mpya.! Bt mimi nimeshangaa sana kukuta hili neno not admitted !! Ooh my God kama kuna yeyote mwenye uwo ujumbe aniambie !! Hapa nilipo nahisi kufa
 
no ulikua admited tokea mwanzon sema ulikua unataka tu kupima upepo kwa wadau wengine..

weeh !! C'unaijua system ya hawa jamaa always wanaleta vitu ki vice versa hope ushanisoma
 
cheza na the duduz ww umia tumbo mbyaaa!

wadau naona mnafurahi ile mbya kwa kuwa admitted bt mwisho wa siku ki2 kikitoka mnaambulia Nil kwenye kale ka upande ka loan sasa hapo sijui utamlilia nani?
 
Afu wadau mimi nilivyoingia kwa mara ya kwanza nilikuta hili neno " Admitted1 " baadae kidogo nilivyolog in tena nikakuta " you are admitted " sasa kwenye hiyo admitted1 nadhani walikuwa wanamaanisha ya kuwa " nitakuwa nimechaguliwa kwenye ma first priority course...
Je kuna mtu yeyote ali notice hicho kitu kabla ya kuandikiwa " you are admitted "
 
kijana unakaba adi penati...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…