Jamani Nyuma raha...!!!

yaan watu wenye akili fupi walivyo soma tu heading wakajua watakutana na waliyo yawaza hawajui kua hii ni chitchat
 


Wewe holy holm yabidi upigwe ban, yaani umenifanya niache kila kitu ili nisome raha ya nyuma ambayo ni ugonjwa wangu kumbe unazungumzia miaka ya nyuma? Kwa kweli wewe unastahili ban.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…