Jamani sehemu gani nzuri ya kuishi mkoa wa Mbeya?

Nafikiri kitakachokufanya uwe huru ni bajeti ya pesa ulionayo mfano kuna maeneo kama "iwambi,ituta,itezi,isesye,Forest mpya block m,new project iziwa.
Hayo maeneo unaweza kupata uwanja lakini ni gharama kidogo
But karibu sana jijini kwetu
Jamani nisaidieni natafuta makao mwenzenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…