Ngoja niseme ya moyoni.
Anajua kuongea vizuri kwa sitaa kubwa sanaaa, uelewa sana na busara na anajibu maswali magumu kwa fasaha sanaaaa.... nimemfatilia asb na sasa nimemsikia.
Nawasilisha!!
We mtu akijua kuongea ndo unajua anakili sana eti, Watu wote wanajua kuongea vizuri na kujua kuongea siyo kwamba ndiyo unaakili sana.
Ngoja basi kamanda, hamu tuweke pemben uchama wetu basi
Jamaa nilikuwa na muona kama boya, kidogo leo naona kanikuna kwani swali gumu majibu mafup na sahih.
Bila kumtaja bwana wako mbowe hupati raha shoga we we....Hata baba wa taifa alikuwa anajua kusema vizuri. Hata Mbowe anajua kusema vizuri. So what's a big deal?
Ngoja niseme ya moyoni.
Anajua kuongea vizuri kwa sitaa kubwa sanaaa, uelewa sana na busara na anajibu maswali magumu kwa fasaha sanaaaa.... nimemfatilia asb na sasa nimemsikia.
Nawasilisha!!
Ngoja niseme ya moyoni.
Anajua kuongea vizuri kwa sitaa kubwa sanaaa, uelewa sana na busara na anajibu maswali magumu kwa fasaha sanaaaa.... nimemfatilia asb na sasa nimemsikia.
Nawasilisha!!
Ngoja niseme ya moyoni.
Anajua kuongea vizuri kwa sitaa kubwa sanaaa, uelewa sana na busara na anajibu maswali magumu kwa fasaha sanaaaa.... nimemfatilia asb na sasa nimemsikia.
Nawasilisha!!