Jamani Simbachawene Ni Kichwa

Jamani Simbachawene Ni Kichwa

Ukiwa gamba akili huwa unatakiwa kuweka mfukoni,wachache sana wenye kujitambua. Hata huyo Lionchawene watamfuata kumpiga mkwara.
 
Ngoja niseme ya moyoni.

Anajua kuongea vizuri kwa sitaa kubwa sanaaa, uelewa sana na busara na anajibu maswali magumu kwa fasaha sanaaaa.... nimemfatilia asb na sasa nimemsikia.

Nawasilisha!!

'sitaa' ndio kitu gani? niliposoma heading nikakimbia mbio kusoma, kumbe topic yenyewe haina kichwa wala miguu?
 
Lionchawene kichwa tatizo huko aliko, sijui kama atajitambua 2015 sisi wapiga kura wake tutamsapoti upande wa pili (kwa makamanda)!
 
'sitaa' ndio kitu gani? niliposoma heading nikakimbia mbio kusoma, kumbe topic yenyewe haina kichwa wala miguu?

Weka miguu na kichwa sas, k.e.n.g.e wewe...
 
Back
Top Bottom