Kowero Fredy
Member
- Apr 30, 2011
- 33
- 2
Kwa wale wanao amin kuwa Kuna Mungu,na Mungu ameumba upendo.swal langu ni ivi,unapomfuata binti au kijana wa kiume na kumwambia unampenda,unamanisha unampenda kwa upendo ule ule ambao Mungu aliuweka ndan yako? Au kuna aina nyingine ya upendo unauzungumza hapo.nauliza ivi kwa sababu kama kwel watu wangeingia kwenye ndoa na hata mahusiano kwa upendo ule wa Mungu sidhan kama kungekuwa na matengano? Coz to have that love means You have God