Jamani TAKUKURU, kuita watu 12,377 kwenye usaili kwa nafasi 200 ni sawa?

Jamani TAKUKURU, kuita watu 12,377 kwenye usaili kwa nafasi 200 ni sawa?

Rwebo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
1,418
Reaction score
1,820
Wakuu mmeshasikia usaili utakaofanyika 8/1/2022. Usaili huu utajaza jiji la Dodoma umati wa watu 12,377 hao ni wa nafasi ya afisa uchunguzi tu.

Kuna nafasi ya afisa uchunguzi wasaidizi wameitwa watu 9,729 kwa nafasi ya watu 150 tu.

Jumla ya wasailiwa inakuwa 22,106 kwa ajili ya jumla ya nafasi 350 tu. What a waste of time and money. Kumbuka vijana hawa wengi wao wa naomba pesa ya nauli, chakula na kulala Dodoma. Hawakuwa na njia nyingine ya kuwachuja ili ipatikane cream ya watu angalau 3,000?
 
Ushauri TU

Usaili unaohusu watu wengi ungeanza kwenye kanda zao halafu wale wanapatikana wangeenda dodoma kwa usail wa awamu inayofuata


Watu wa dsm pwan morogoro ....wafanyie dsm


Watu wa Ruvuma iringa na Mbeya ..wafanyie mbeya


Watu wa mtwara Lindi..wafanyie mtwara

Watu wa geita simiyu mwanza kagera Mara na shinyanga ..wafanyie mwanza


Watu wa Tabora rukwa kigoma .. wafanyie kigoma

Watu wa Arusha manyara Moshi tanga...wafanyie Arusha

Watu wa dodoma singida ..wafanyie singida


Halafu dodoma ibaki sehemu ya mwisho kwenda kumalizia usail wa mwisho
 
Habari RWEBO,mmi nimekuelewa vzuri.nikweli watazame pia idadi ya watu na nafasi wanazotaka kutoa watu 20,000.lakini wanao hitajika watu 200 huo mzani unavunja matumaini SNA ya waliopambania msuli kwa jasho na wakahitimu inauma sna angalau wakitoa nafasi 6000/8000 kwa idadi ya 20,000 watu wanajipa moyo ata wazazi waliowekeza nguvu kubwa kwa vijana wao waanze kula matunda yao.japo vijana waleo mkipata KAZI mnawasahau wazazi wenu mnawaacha wanakuwa na sifa mtto wake yuko taasisi flani,lakini mzazi analala njaa wewe kijana unaweka heshima sehemu MUNGU anawaona.
 
Kila mtu na riziki yake kama unamudu gharama fanya uende kama huwezi tulia

Ushauri wangu kama ni wewe au ndugu yako mwambie aende kama ana uwezo hyo ni risk taking opportunity unaweza kuchoma gharam ukakosa na unaweza kupata ila usipoenda hata mvuke wa hyo ajira hupati
 
Huu ni upumbavu wa hali ya juu wangefanya at least nafasi moja kwa watu 3 ….. yaani nafasii 200 *3 … interview wangeita atleast watu 600 ! Izo garama na bado kama huna connection ujipange sana
 
Ila sisi Watanzania ni watu wa kutokuridhika Sana.....
Wao wameweka vigezo vya awali wenye vigezo vya awali wameitwa,mlitaka ata ukiwa na vigezo uachwe kwa sababu gani!?na wangeachwa pia tungesema,ifike mahala tubadilike.
Kama umeitwa wewe nenda huwezi jua Mipango ya Mungu.
 
Sasa we ulitaka waite watu wangapi endapo wote wamekidhi vigezo
 
Ushauri TU

Usaili unaohusu watu wengi ungeanza kwenye kanda zao halafu wale wanapatikana wangeenda dodoma kwa usail wa awamu inayofuata


Watu wa dsm pwan morogoro ....wafanyie dsm


Watu wa Ruvuma iringa na Mbeya ..wafanyie mbeya


Watu wa mtwara Lindi..wafanyie mtwara

Watu wa geita simiyu mwanza kagera Mara na shinyanga ..wafanyie mwanza


Watu wa Tabora rukwa kigoma .. wafanyie kigoma

Watu wa Arusha manyara Moshi tanga...wafanyie Arusha

Watu wa dodoma singida ..wafanyie singida


Halafu dodoma ibaki sehemu ya mwisho kwenda kumalizia usail wa mwisho
Tujiandae kushuhudia kioja cha kwanza cha kufungulia mwaka. Partner wangu mmoja ameitwa humu najua anaenda kupoteza muda na nauli tu!
 
Ushauri TU

Usaili unaohusu watu wengi ungeanza kwenye kanda zao halafu wale wanapatikana wangeenda dodoma kwa usail wa awamu inayofuata


Watu wa dsm pwan morogoro ....wafanyie dsm


Watu wa Ruvuma iringa na Mbeya ..wafanyie mbeya


Watu wa mtwara Lindi..wafanyie mtwara

Watu wa geita simiyu mwanza kagera Mara na shinyanga ..wafanyie mwanza


Watu wa Tabora rukwa kigoma .. wafanyie kigoma

Watu wa Arusha manyara Moshi tanga...wafanyie Arusha

Watu wa dodoma singida ..wafanyie singida


Halafu dodoma ibaki sehemu ya mwisho kwenda kumalizia usail wa mwisho
Point muhimu sana hii
 
Ila sisi Watanzania ni watu wa kutokuridhika Sana.....
Wao wameweka vigezo vya awali wenye vigezo vya awali wameitwa,mlitaka ata ukiwa na vigezo uachwe kwa sababu gani!?na wangeachwa pia tungesema,ifike mahala tubadilike.
Kama umeitwa wewe nenda huwezi jua Mipango ya Mungu.
Binafsi silaumu kuitwa wengi hivyo,ninacholaumu ni kwamba Kwanini huo usaili usingefanyika Kikanda? au Kimikoa ili kupunguza Population ya watu wengi hivyo kukutana sehemu moja?. Kwasababu gharama zake kwa husika zinakuwa kubwa Sana.Nauli,Malazi na Chakula.Na DODOMA palivyo pagumu vile aisee, vijana wataumia Sana.
 
Binafsi silaumu kuitwa wengi hivyo,ninacholaumu ni kwamba Kwanini huo usaili usingefanyika Kikanda? au Kimikoa ili kupunguza Population ya watu wengi hivyo kukutana sehemu moja?. Kwasababu gharama zake kwa husika zinakuwa kubwa Sana.Nauli,Malazi na Chakula.Na DODOMA palivyo pagumu vile aisee, vijana wataumia Sana.
Wamefanya hivyo ili kupunguza gharama kwao na urasimu hivyo wameona mzigo wa gharama zao zihamie kwenu
 
Mbona wameshafanya. Pre vetting zimeshatembea so far.

Lakin lazima watoe nafasi kwa umma wote.

Vijana wapambane tu wasiache kulialia.
Wakuu mmeshasikia usaili utakaofanyika 8/1/2022. Usaili huu utajaza jiji la Dodoma umati wa watu 12,377 hao ni wa nafasi ya afisa uchunguzi tu.

Kuna nafasi ya afisa uchunguzi wasaidizi wameitwa watu 9,729 kwa nafasi ya watu 150 tu.

Jumla ya wasailiwa inakuwa 22,106 kwa ajili ya jumla ya nafasi 350 tu. What a waste of time and money. Kumbuka vijana hawa wengi wao wa naomba pesa ya nauli, chakula na kulala Dodoma. Hawakuwa na njia nyingine ya kuwachuja ili ipatikane cream ya watu angalau 3,000?
 
Back
Top Bottom