Jamani Tanga kwa harusi hapana

Jamani Tanga kwa harusi hapana

Hiyo si fashion watu wanatimiza wajibu wao na kwa matakwa yao wenyewe, waache waoane tu
Ila kwa upande mwingine Kaka najiwazia hapa, lengo la mtoa uzi ni nini hasa kwa sababu hata huku mikoani kila leo tunaenda kwenye masherehe ya harusi iweje kwa Tanga aone ni jambo la ajabu?
 
Dooh nimekaa miez sasa lkn hizo harusi nilizohesabu ambazo naziona na nilizoalikwa hatar

Mmhh hapana aiseee hiv watu wanaosema hakuna wanawake wa kuwaoa au hakuna wanaume wa kuoa mbona huku ndoa kila siku tu
Au ndo kutoa mkosoiii jamn wenyeji hii ni fashion tu au ndo kutoa mkosi alafu mtarud home
we vp ushaolewa???
 
Nimevutika na id name yako, inanikumbusha mbali sana- ww ni wa Kagera?
 
Dooh nimekaa miez sasa lkn hizo harusi nilizohesabu ambazo naziona na nilizoalikwa hatar

Mmhh hapana aiseee hiv watu wanaosema hakuna wanawake wa kuwaoa au hakuna wanaume wa kuoa mbona huku ndoa kila siku tu
Au ndo kutoa mkosoiii jamn wenyeji hii ni fashion tu au ndo kutoa mkosi alafu mtarud home
Wanaume hakuna ndio. Huko si pwani, sharia inazingatiwa vyombo ni vinne vinne.
 
Back
Top Bottom