Jamani Tanga kwa harusi hapana

Hiyo si fashion watu wanatimiza wajibu wao na kwa matakwa yao wenyewe, waache waoane tu
Ila kwa upande mwingine Kaka najiwazia hapa, lengo la mtoa uzi ni nini hasa kwa sababu hata huku mikoani kila leo tunaenda kwenye masherehe ya harusi iweje kwa Tanga aone ni jambo la ajabu?
 
we vp ushaolewa???
 
Nimevutika na id name yako, inanikumbusha mbali sana- ww ni wa Kagera?
 
Huku watu waajali harus mkuu hawatak ndoa...
 
Wanaume hakuna ndio. Huko si pwani, sharia inazingatiwa vyombo ni vinne vinne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…