Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
Kuna siku binamu yangu wa kiume(miaka 8) aliniuliza "always ni nini" mbele ya wazazi wake na wanafamilia wengine tukiwa tunakula baada ya kuona tangazo kwenye tv. Nilipatwa na kigugumizi lakini nikamjibu kuwa ni sabuni ya kuogea, akauliza tena "mbona namuona nazo dada tu na mimi sijawahi tumia?" Ilibidi itumike akili ya ziada kubadili topiki.
nakumbuka kama miaka mitatu iliyopita tulikaa mimi dogo lasi na baba yetu.tulipo kuwa tunacheki tv katika kubadilisha channel wakawa wapenzi wana kiss midomoni.dogo akalopoka wanafanya nini hao.baba alijibu wanapimana pua nilicheka!
sijawaona eti wameharibika au kuwa na tabia mbya.