Jamani this is serious, nchi tajiri za Kiarabu kuwa ombaomba Afrika by 2030

Uliona mbali sana
 
The most important to learn in history, is that we don't learn through history. So, we keep on repeating the same mistakes!
 
Mkuu waarabu waliposoma huu uzi wako walipata kitu. Wewe ndiyo umetuchoma kwa kuwaita waje hapa kupata nafaka na malisho ona sasa huyu mama anachokifanya akili hii uliwapa wewe mkuu waarabu kweli wapo jangwani Hamna kitu kule sasa hivi wameoshaona hapa Tanzania ndiyo chimbo lao ndiyo maana wameleta mkataba wa milele
 
Aisee, acha tu
 
Ndio wamekuja kutia lock tuwe colon lao la milele wamepiga komeo wakaweka kufuli na ufunguo wameenda kuutupia katikati ya Bahari
✍️
Yaani hata siamini kinachotaka kutokea, hivi huyu mama anafikiria nini kichwani kwake?
 
Hata hao wenye mafuta washafikiria hivo unavofikiri itakuwa kwa nchi za afrika ,Kwan nchi ambazo haizina rasirimali zaid ya watu wake zina survive vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…