Jamani tuache ujinga wa kuponda vyuo vya wenzetu

oil sumu

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
787
Reaction score
47
kuanzia leo ctoponda chuo chochote hapa tz! Lakn mtu yeyote hatakaye kiponda UDSM ESPECIALLY MUCE mm ckubali hata kdogo! mwsho udsm 4 life chatts55& oil sumu a.k.a meneja wa wa jukwaa!
 
kuanzia leo ctoponda chuo chochote hapa tz! Lakn mtu yeyote hatakaye kiponda UDSM ESPECIALLY MUCE mm ckubali hata kdogo! mwsho udsm 4 life chatts55& oil sumu a.k.a meneja wa wa jukwaa!

mutemi munyigumba mutwa wa wanyalu nadhani wamesikia na hawana kipingamizi
twibitaga ku tosamaganga
 
kuanzia leo ctoponda chuo chochote hapa tz! Lakn mtu yeyote hatakaye kiponda UDSM ESPECIALLY MUCE mm ckubali hata kdogo! mwsho udsm 4 life chatts55& oil sumu a.k.a meneja wa wa jukwaa!

Unazijua sheria za Jamiiforums?? au ulianza kuchangia jukwaani bila kuaoma sheria zake?? kuna kitu inaitwa BAN muulize mpigamsuli atakueleza inakuaje,
Sio kila unachojisikia unapost jukwaani.
 
Last edited by a moderator:
mutemi munyigumba mutwa wa wanyalu nadhani wamesikia na hawana kipingamizi
twibitaga ku tosamaganga
mpangile wa ngindo wa gopisala sasinagopi mkwavinyika twibitaga ku kalenga.. Beee mwa oil sumu
 
Cyo kuponda chuo cha mtu tu lakin pia komeni kuponda combination za watu! Msifikir wote waliochukua HKL wanataka kuwa walimu. Wengne wanataka kuwa wanasheria, majaji n.k maana watu wako humu wananyodo, dharau na matuc kisa kachukua PCM ati anataka kuwa engineer kumbe kuna watu wamesoma arts na watakuwa zaid ya maengineer.
 
mpangile wa ngindo wa gopisala sasinagopi mkwavinyika twibitaga ku kalenga.. Beee mwa oil sumu

bee mwagito tukulumba hilo Nguluvi kwa manofi mbegali gee wa kututendela konoo
 
kuanzia leo ctoponda chuo chochote hapa tz! Lakn mtu yeyote hatakaye kiponda udsm especially muce mm ckubali hata kdogo! Mwsho udsm 4 life chatts55& oil sumu a.k.a meneja wa wa jukwaa!

kwa kuandika hivyo unadhalilisha chuo kwanini tusiviponde vyuo hivyo?
 
Jipe moyo..lakini ukweli unaujua..
 
"we've to think positively and act gently"...coz education purpose is to replace an empty mind with an open ones...UDOM IS OUR HOME!!over
 
ARDHI UNIVERSITY chuo kinachotoa course unique tz mzima..ukipiga pale miaka yako mi4 umackin bye bye.. Karibuni sana
 
utoto umewajaa nyie!! bado mna akili za ki-sekondary!! U HAVE 2 grow up ..unawaponda wenzio wakati ww mwenyewe unasoma MUCE!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…