Jamani tumsaidie Athman Idd Chuji

Bila kuficha wala nini kwa mtaji huu nurdin bakar, athuman idd "chuji" wa yanga na ramadhan chombo "redondo"wa azam fc
nimateja wa kupindukia huu ung.... Utawamaliza haraka saaana bora wafukuzwe yanga haraka kabla ya kuwatumbukiza wengine katika huu ulevi naamini hawa walianzia simba mchezo huu
 
 
Kama babake kashindwa, ni vigumu mtu mwingine kuweza. wenye nafasi nzuri kumsaidia ni viongozi wake klabuni.
Hatua ya kwanza ni kueleweshwa na kukubali tatizo!
 
asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu!!!
 
Kama babake kashindwa, ni vigumu mtu mwingine kuweza. wenye nafasi nzuri kumsaidia ni viongozi wake klabuni.
Hatua ya kwanza ni kueleweshwa na kukubali tatizo!

Au kama Yanga wameshindwa arudi Simba tumsaidie kama tulivyofanya kwa kocha James Siang'a.
 
Yanga Daima mbele Daima Haturudi Nyuma! Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

masanilo apo atukuelewi apo akuna swala la uyanga wala usimba apo kuna swala la chuji na mibange yake anayokula tuangalie jinsi ya kumsaidia
 


ndugu kwanza nakupa hongera kwa kuwa na moyo wa kumsaidia huyu bwana
binafsi kama binafsi labda nikueleze huku utabeba majungu na matusi jf si sehemu ya kuomba msaada kwa mwenye shida haata kidogo unaweza kuangalia huko juu wameandikaje na kuchukua ninachosema ..sasa basi isifike wakakutukania na mama yetu we jitahdi kumtafuta kwa muda wako msaidie utakavyoweza ukiendelea na kuandika utamkaribisha shetan chumbani..jumapili njema
 
Seriously speaking wachezaji wa bongo wengi hawachukulii mpira kama kazi ie walevi,indisciplined,uzinzi.
It could be wanalipwa chenji au wakishakuwa maarufu basi ndo anataka afanye kila kitu alichokikosa maishani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…