Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Kuna wale wamelelewa na wazazi wawili bila kujua mama zao ndo walikua wanaendesha familia baba alikia kivuli tu ila nao kutwa kusema single moms as if baba zao walichangia kitu kwenye ukuaji wao zaidi ya kuwepo nyumbani tu kama baba.
Utakuta Baba anakuwa kama pazia ambalo unaliona kila mara lakini hakuna cha maana
 
Suala sio vigezo ni moyo mpenzi. Unaweza ukawa na vigezo kila mtu anaviona huyu anafaa ila moyo wa mtu mwingine ukagoma kabisa kukusajili.

Asante mwaya. Tunaomboleza kama taifa sasa hivi.
 
Wanataka sijui tuwatupe wema hapo analia kila siku azae hata katoto,ndoa wanadhani ni ya kukimbilia tu
Wachache sana kina baba wanaojali watoto nyumbani ,watoto wengi wamekuzwa na mama zao sio kina baba bana anashinda bar hana habari
Tena wababa wanaoshinda bar ndo usiseme. Ndo maana tunaawachaga tu na mada zao waandike mpaka waandike tena kama wanadhani maneno yao yatabadili uhalisia. Tatizo wanashindwa kuelewa ulimwengu unabadilika. Hata wakati wazungu wanaleta nguo na dini kuna watu walishangaa
 
Kuna watu wanatutongoza mwaka wa saba huu na wala hawakasiriki wakikataliwa. Mtu anakutongoza na ka Id fake wala hata hakujui anakasirika kabisa. Kumbe maskini unaweza ukamkubalia akikuona live unalingana na bibi yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haaaa [emoji23][emoji23][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] na kasweta kake mbio kakutana na bibi
 
Suala sio vigezo ni moyo mpenzi. Unaweza ukawa na vigezo kila mtu anaviona huyu anafaa ila moyo wa mtu mwingine ukagoma kabisa kukusajili.

Asante mwaya. Tunaomboleza kama taifa sasa hivi.
Nakubaliana na weye kabisa,lkn sasa usije huku kukandia ,na ndio maana nasema JF ya sasa utoto mwingi

Binafsi nishatoswa humu,chakushangaza aliyenitosa nazidi kumfurahia

Tuko pamoja katika msiba huu wa taifa ,tuzidi kuwaombea marehemu wetu
 
Watoto hawaelewagi wao wanajua walikua kwa juhudi za baba na mama
wengne wanaambiwaga ila raha yao kuponda!kuna uzi upo humu nadhan unasema wale tuliotelekezwa na baba zetu tukutane hapa !jaman unatia uchungu huo uzi!niliumia sanna sana!nahakika ulifika pg 30!ila haohao waliolelewa na mama zao wanakuja hapa kunanga !manina kwakwel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…