Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Sio sana... yani wakati wao wakisikiliza neno mimi nakula mwili na damu ya mtukuka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Point yako ni ipi
Humu watu muna miaka mingii... Kila uzi mtafuta mpenzi anahtaji kuanzia miaka 28-40 tena huyu ni mwanamke akitafta mwanaume, jiulize huyu mtu ana linganaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…