Jamani tuwe makini tunapotoa 'lift' za magari.

Hivi na kuomba lift pia hua hamuogopi??Mi kama mtu sio ndugu au rafiki yangu siombi..sitoi wala sipokei lift yake.Kubalini kuonekana wachoyo mbaki salama...na wadada wazuri wanajua udhaifu wenu kwahiyo wafungieni macho kabla hamjaamka mtaroni bila hata pensi!
 
Nilimpa lifti mzee mtu mzima nikambamba ananipekua wallet yaani alifedheheka sana na bado tunaishi mtaa mmoja
 
Huyo jamaa yako naye yupo too slow...! Yani anashikwana butwaa plus mfadhaiko!? Mjini hapa....! Ooh! Au kakulia Peramiho!?
 
Pole yake, kwa kweli inatakiwa umakini sana katika ishu hiyo ya kutoa lifti, sio kila mtu ni mzuri!
 
 
Pole yake, kwa kweli inatakiwa umakini sana katika ishu hiyo ya kutoa lifti, sio kila mtu ni mzuri!
Mvua jamani alikuwa hana uhakika wa siku hiyo maybe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…