Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Hivi na kuomba lift pia hua hamuogopi??Mi kama mtu sio ndugu au rafiki yangu siombi..sitoi wala sipokei lift yake.Kubalini kuonekana wachoyo mbaki salama...na wadada wazuri wanajua udhaifu wenu kwahiyo wafungieni macho kabla hamjaamka mtaroni bila hata pensi!