mwasambili
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 151
- 77
kwa kifupi tu,kwa nini mtu anadanganya au anatoa taarifa isiyo sahihi?
Ni faida gani mtu anayoipata anapotudanganya kuwa tcu wametoa majina ya vyuo tulivyochaguliwa?
ninaamini wote tuliopo humu ni waelevu,sasa kwa nini ulidhalilishe jukwaa hili?
Tafadhali jamani naomba tuwe sahihi kwa kila taarifa tunayoitoa hapa,na ninaomba kwa yeyote anayetoa taarifa ya uongo kwa makusudu afungiwe
nawasilisha.
Ni faida gani mtu anayoipata anapotudanganya kuwa tcu wametoa majina ya vyuo tulivyochaguliwa?
ninaamini wote tuliopo humu ni waelevu,sasa kwa nini ulidhalilishe jukwaa hili?
Tafadhali jamani naomba tuwe sahihi kwa kila taarifa tunayoitoa hapa,na ninaomba kwa yeyote anayetoa taarifa ya uongo kwa makusudu afungiwe
nawasilisha.