Jamani tuwe serious kuhusu TCU

Jamani tuwe serious kuhusu TCU

kwa kifupi tu,kwa nini mtu anadanganya au anatoa taarifa isiyo sahihi?
ni faida gani mtu anayoipata anapotudanganya kuwa tcu wametoa majina ya vyuo tulivyochaguliwa?
ninaamini wote tuliopo humu ni waelevu,sasa kwa nini ulidhalilishe jukwaa hili?
tafadhali jamani naomba tuwe sahihi kwa kila taarifa tunayoitoa hapa,na ninaomba kwa yeyote anayetoa taarifa ya uongo kwa makusudu afungiwe
nawasilisha

kila mwaka huwa hivi. ya safari hii ilikuwa na ka ukweli kwa waliowahi maana hata ka page ka tcu na nembo yao kalionekana.

huenda tcu walikuwa kwenye test run jamaa akaidaka link. actually ilikuwa poa sana kabla hawajaishtukia.

wakija officially tcu waje na mpangilio huo katika utafutaji wa wapi mtu kapangiwa ni simple na mzuri - unajijazia index number yako, mwaka ulomaliza, jina la kwanza na la ukoo mashine ina search na kukupa data zote na hasa ya wapi unaenda kusomea na sio kuchukua degree!!!!
 
Bora nyie wa tcu mmechungulia japo kidogo sisi wa nacte ni kimya wameishia kutuwekea tangazo lao
 
WE ARE SORRY.

hayo majina yalileak. na aliyefanya vile hatua na kinidhamu zitachukuliwa juu yake.

TUNATEGEMEA KUTOA MAJINA YOTE NA YA WALE WALIOOMBA KWA SIFA ZA DIPLOMA KUPITIA NACTE tarehe 22/09/2014.
 
WE ARE SORRY.

hayo majina yalileak. na aliyefanya vile hatua na kinidhamu zitachukuliwa juu yake.

TUNATEGEMEA KUTOA MAJINA YOTE NA YA WALE WALIOOMBA KWA SIFA ZA DIPLOMA KUPITIA NACTE tarehe 22/09/2014.

miaka yote mbona yana leak - hao hawajifunzi kwa hatua za nidhamu mnazowachukulia? mwaka jana zili leak kupitia mfumo wa mtandao fulani (jina kapuni) - mlichukua hatua gani ili isijirudie mwaka huu.

yaliyo leak mwaka jana yalibaki na ukweli wake ule ule na hata mwaka huu imani ni hiyohiyo.
 
miaka yote mbona yana leak - hao hawajifunzi kwa hatua za nidhamu mnazowachukulia? mwaka jana zili leak kupitia mfumo wa mtandao fulani (jina kapuni) - mlichukua hatua gani ili isijirudie mwaka huu.

yaliyo leak mwaka jana yalibaki na ukweli wake ule ule na hata mwaka huu imani ni hiyohiyo.

HATA WALIOHUSIKA MWAKA jana HATUA ZA KINIDHAMU ZILICHUKULIWA NA NIVIGUMU WW KUFAHAMU HILO NI JUKUMU LA TAASISI.


MATOKEO RASMI YANATEGEMEWA KUTOLEWA YOTE NA YALE YA NACTE 22/09/2014.

AHSANTENI
 
HATA WALIOHUSIKA MWAKA jana HATUA ZA KINIDHAMU ZILICHUKULIWA NA NIVIGUMU WW KUFAHAMU HILO NI JUKUMU LA TAASISI.


MATOKEO RASMI YANATEGEMEWA KUTOLEWA YOTE NA YALE YA NACTE 22/09/2014.

AHSANTENI

habari hii kama ni official ibandike website ya TCU in addition to au sivyo haina tofauti na HOAX ya jana kuhusu namna ya ku search waendao vyuoni.
 
Mwanakijiji,
nimeshangaa sasa Waziri Mkuu anapanga mikakati ya utekelezaji kwa kucheza dansi? only in Tanzania!!

Tunahitaji mapaparatzi watakaotengeneza filamu ya jinsi viongozi wa Tanzania wanavyokula starehe wakati wananchi wanaishi kwa tabu.

Waandishi wa habari na Viongozi wa Upinzani nao wamelaza damu. Kwanini wamenyamaza wakati ubadhirifu na ubinafsi unaendelea mbele ya macho yao?

MAMBO mengine SIYO YA KUBANDIKA KWENYE WEBSITE.

HILO LA SIKU YA KUTOA MATOKEO TEMBELEA WEBSITE YA NACTE.

AHSANTEN
 
Tangazo liko hapo la NACTE
 

Attachments

  • 1410724562600.jpg
    1410724562600.jpg
    95.2 KB · Views: 86
Back
Top Bottom