Haya mabo ya hajabu sana , Dar Chafu, Ujenzi Holela pia matokeo mnashindwaje kuweka hewani wakati wasomi wote mpo hapa, nyenzo zote mnazo, hata kila halmashauri, Ilala, Temeke na Kinondoni warushe, kwanza wamesema wamesahihishwa kwa computer hivyo matokeo yapo digital, ni jambo la ICT dept ya kila Halmashauri ku UPload tu, Hata wewe kijana wa Ilala Meya SLAA "very smart" lakini unashidwa kwenda kisasa, embu fanya mambo...