mic mabawa
Member
- May 25, 2013
- 13
- 22
Jaman wana JF nikatika kipambana na maisha yetu haya nataman kuanza biashara yamitumba kutoka Dar kwenda mikoa ya kanda ya ziwa.
Je, Kwa makadrio ya mtaji wa kiasi gani naweza anza nao.?
Je, nilitamani kumtumia mtu awe ananisafirishia mi naupokea mzigo nikiwa mikoan vip hii imekaa je?
Vip changamoto za biashara hii? Kwawenyeji na walio na uzoefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, Kwa makadrio ya mtaji wa kiasi gani naweza anza nao.?
Je, nilitamani kumtumia mtu awe ananisafirishia mi naupokea mzigo nikiwa mikoan vip hii imekaa je?
Vip changamoto za biashara hii? Kwawenyeji na walio na uzoefu
Sent using Jamii Forums mobile app