Jamani Vipi Hali ya Vengu?

Jamani Vipi Hali ya Vengu?

Watz ni wanomq maskini mkaka wa watu anatatizo fromvno where to anazimia looo ndo wabongo wakapatq kisingizio kuwa mlevi mbwa kumve mwenzao anaumwa na inawezekana kweli walimwingilia wamepatq dhambi za bure mwenzao alikuwa mgonjwa na walavsi pombe inayomfanya azime
Mkuu mambo ya touch nini hayo maana daaaa!!!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mkuu mambo ya touch nini hayo maana daaaa!!!

Ndugu yangu we acha tu hizi simu majanga tunazipenda ila ndo balaa yale ya kumusms boss "boss umelalwa??"badakla ya umelala
 
Unacheka nini sasa??
mwenzio nimeipitia kuisoma hiyo post yangu juu nimecheka balaa michapio kibao nakumbuka that week nlichezea setting ilikuwa majanga sana.

Jamani amu siruhusiwii kucheka humuu! !!!!nakumbuka kuna rafiki yangu nae alikua anaenda sehemu alivyofikaa akamtumiaa mwenyeji wake sms "NIMEFIRA"badala ya nimefika akajibiwaa HEEE UMEFIRA NANI LEO !!!nilicheka mpaka nikapelekwa hospitaliii!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom