Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Huyu mheshimiwa anaugua pia ugonjwa wa kisukari.. Anyway, ni ugonjwa sugu na mgumu sana kukabiliana nao, especially kwa mazingira kama ya kwetu hapa Tz.
Nataraji ata-improve baada ya kuukwaa tena uheshimiwa, maana ndiyo alikuwa unapigania kwa udi na uvumba, hadi akasahau kumpigia debe mgombea wa urais wa tlp.
FYI, watu wa Vunjo wamempa ubunge ali ajipatie kaulaji walau na ka-pension--otherwise hawategemei kupata chochote cha maendeleo!!
Nataraji ata-improve baada ya kuukwaa tena uheshimiwa, maana ndiyo alikuwa unapigania kwa udi na uvumba, hadi akasahau kumpigia debe mgombea wa urais wa tlp.
FYI, watu wa Vunjo wamempa ubunge ali ajipatie kaulaji walau na ka-pension--otherwise hawategemei kupata chochote cha maendeleo!!