Elections 2010 Jamani vipi kuhusu HALI YA AFYA YA MREMA?

jamani kama mtakumbuka aliwahi kulazwa mawezi wakati wa sakata lake bungeni akachomwa sindano na akalalamika sana kuwa amechomwa sindano mbaya sijui ikoje hiyo ila
 
Ni utu uzima tu. Kwa umri wake ana bahati sio mnene. Shida ingekuwa kubwa zaidi. Mimi namuoina anazeeka vizuri tu. Tumwone lala salama yake ya ubunge atawafanyaia nini wanachi wake wa vunjo.
 
Njoo na ww tukupime kwanza kabla ya kuuliza afya ya mbunge wako. Maana nikikutizama macho yako ktk ID photo yako na hilo domo unahitaji matibabu kudadadeki wee.

Njoo tukufanyie oparation ndipo uulize afya ya bosi wako.:bowl:
kani umeambiwa ana jipu?
 
Reply With Quote

ha haaaaaaaa ha haaaaa...................teh teeehe teeeeeeeeeeehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…