habari zenu wana jf, naamini kabisa hapa ni mahali salama na pa kistaarabu kuuliza jambo hili,naomba mwenye taarifa anijulishe serikali imefikia wapi kuhusu mchakato wa kuwapatia ajira walimu waliokosa ajira hizo mwka huu 2013.natanguliza shukrani zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.