habari zenu wana jf, naamini kabisa hapa ni mahali salama na pa kistaarabu kuuliza jambo hili,naomba mwenye taarifa anijulishe serikali imefikia wapi kuhusu mchakato wa kuwapatia ajira walimu waliokosa ajira hizo mwka huu 2013.natanguliza shukrani zangu.