Safety last JF-Expert Member Joined Mar 24, 2011 Posts 4,236 Reaction score 1,411 Dec 3, 2011 #21 Walim mna hali ngumu,
M massai JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 653 Reaction score 137 Dec 3, 2011 #22 henge said: mkuu kunahaja ya kutafuta jinsi nyingine ya kugoma lakini hii itafanya vizaliwe vichwa vingi vya aina ya jk na kitu ambacho hatutaki! Click to expand... hapo umenena mkuu,sasa watumie mbinu gani???mimi naona wangewatumia wanafunzi kugoma badala yao,labda itasaidia,itabidi wawaeleze wanafunzi wote madhara wanayopata kisha wanafunzi walianzishe, hapo wala hakutakua na mabomu wala risasi wala virungu.
henge said: mkuu kunahaja ya kutafuta jinsi nyingine ya kugoma lakini hii itafanya vizaliwe vichwa vingi vya aina ya jk na kitu ambacho hatutaki! Click to expand... hapo umenena mkuu,sasa watumie mbinu gani???mimi naona wangewatumia wanafunzi kugoma badala yao,labda itasaidia,itabidi wawaeleze wanafunzi wote madhara wanayopata kisha wanafunzi walianzishe, hapo wala hakutakua na mabomu wala risasi wala virungu.
Difo Senior Member Joined Mar 29, 2011 Posts 111 Reaction score 170 Dec 3, 2011 #23 don't do that teachers-kumbuka kugoma kwako italeta impact kubwa hasa kwa taifa na umaskin utaongezeka kwa kiwango cha juu,the only option u have-just wait 2015 and make the right decision, your vote will determine your future
don't do that teachers-kumbuka kugoma kwako italeta impact kubwa hasa kwa taifa na umaskin utaongezeka kwa kiwango cha juu,the only option u have-just wait 2015 and make the right decision, your vote will determine your future