JAMANI WAKIRISTO NA WASIOKUWA WAISLAM. MNASUBIRI NINI?

Kwa mujibu wa Qur'an na Hadithi, Waislamu waumini woote finnar jehannam halidina fiha ABADAN hamtoki humo tutubwi🔥
👇🏽👇🏽
وَاِنْ مِّنْكُمْ اِلَّا وَارِدُهَاۚ كَانَ عَلٰى رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّاۚ ۝٧١
wa im mingkum illâ wâriduhâ, kâna ‘alâ rabbika ḫatmam maqdliyyâ

[Suratul mariam.71]
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

Hadithi hii hapa na Quran!
👇🏽👇🏽
يَوْمَ نَقُولُ لِجَهَنَّمَ هَلِ امْتَلَأْتِ وَتَقُولُ هَلْ مِن مَّزِيدٍ

(QAAF - 30)
Siku tutapo iambia Jahannamu: Je! Umejaa? Nayo itasema: Je! Kuna ziada?

Sahih al-Bukhari 4848
Anas alisimulia:

Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Watu watatupwa Motoni na itasema: Je! (50.30) mpaka Mwenyezi Mungu aweke mguu wake juu yake, na itasema: Qati! Qati! (Inatosha!)'"

حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنَنْ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هٍََى َمِنَّ. يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Rejea: Sahih al-Bukhari 4848
Rejea ya ndani ya kitabu: Kitabu cha 65, Hadithi ya 369
Vol. 6, Kitabu cha 60, Hadithi ya 371
 
Qur’an 67:3-4
"Aliyeumba mbingu saba kwa matabaka. Hutaona tofauti yoyote katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema. Basi rudisha macho yako, je, unaona hitilafu yoyote?"
Hujathibitisha, unahubiri.

Thibitisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…