KANCHI
JF-Expert Member
- Sep 3, 2011
- 1,532
- 230
kumbe mnalipwa vzr,nimeona mahali flan wahasibu wenye shahada wanalipwa 350000tsh.
Maisha popote mkuu! japo dharau......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe mnalipwa vzr,nimeona mahali flan wahasibu wenye shahada wanalipwa 350000tsh.
kumbe mnalipwa vzr,nimeona mahali flan wahasibu wenye shahada wanalipwa 350000tsh.
Halafu issue nyingine sio kulipwa inategemea na mipango ulojiwekea 7bu unaweza ukawa unalipwa 1mil lakn still usiwe na mipango mizuri ya kimaisha na mtu mwenye hyo laki4 akakuzidi kimipango
Ndugu zangu leo hii tar 25 febr nimeenda CWT makao makuu nimewauliza maswali kadhaa na zaidi bwana mmoja akaniambia ngoja aniitie assistant Head of Advocacy mh Florence M Burudaa yafuatayo aliyajibu: Tulimuuliza je hela ya kujikimu ya sasa ni ya muda gani ambayo inatolewa? Akasema hela inayotolewa niya siku 7 kutegemeana na eneo ulipo
Pia aliulizwa mwl anatakiwa kusafirisha mizigo kiasi gani? Akasema ni Tan moja na nusu na kila 1km unatakiwa watulipe sh 1000,kwa hyo tumepewa maelezo mengi sana kadhalika wakasema tukifika huko tuendako twendeni ofisi za CWT watatupatia huo waraka kwa sasa bado haujawafikia kwa ujumla jamaa wametuckiliza vizuri sana,kadhalika wakanipatia na katiba ya CWT so kama una swali uliza hadi namba za mawakili wa cwt ninazo,ndio hayo kwa uchache
Ndugu zangu leo hii tar 25 febr nimeenda CWT makao makuu nimewauliza maswali kadhaa na zaidi bwana mmoja akaniambia ngoja aniitie assistant Head of Advocacy mh Florence M Burudaa yafuatayo aliyajibu: Tulimuuliza je hela ya kujikimu ya sasa ni ya muda gani ambayo inatolewa? Akasema hela inayotolewa niya siku 7 kutegemeana na eneo ulipo
Pia aliulizwa mwl anatakiwa kusafirisha mizigo kiasi gani? Akasema ni Tan moja na nusu na kila 1km unatakiwa watulipe sh 1000,kwa hyo tumepewa maelezo mengi sana kadhalika wakasema tukifika huko tuendako twendeni ofisi za CWT watatupatia huo waraka kwa sasa bado haujawafikia kwa ujumla jamaa wametuckiliza vizuri sana,kadhalika wakanipatia na katiba ya CWT so kama una swali uliza hadi namba za mawakili wa cwt ninazo,ndio hayo kwa uchache
kumbe mnalipwa vzr,nimeona mahali flan wahasibu wenye shahada wanalipwa 350000tsh.
Hapo kwenye mizigo bachela wa kike au wakiume mwaka jana alikua anifidiwa mizigo ya tani 3,alafu mwenye familia tani 5,naona na penyewe wamepunguza.Hebu niambie ofice zao zinapatikana maeneo gani,kila mkoa.Mimi nataka niwatafute j4 mkoa wa pwani.
Hivi hata upakie kijiko kwenye gari ya tani 1 na nusu akisafirishe mwendo wa km 1 atakubali buku?.....Mwaka jana ilikuwa tani 5*km1*1000 yaani badala ya kupanda inashuka?
gud newz blaza,ingawa waliopita walilipwa siku 14!sisi sijui kwanini wamepunguza kihasi hicho.