Jamani wana jf msaidieni rafiki yangu !!!

Jamani wana jf msaidieni rafiki yangu !!!

MWAMUNU

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
860
Reaction score
519
Jamani kwanza hongereni kwa kuuvuka mwaka kwa wale waliobahatika.
 
Mshauri akubali mkwewe ambane na koleo na yeye.
Tena sio kidole cha mkono bali kidole tumbo.

Wizi mtupu
 
Mji mwingine umbali wa nusu saa kwa miguu??
Umbali wa nusu saa akaona kazi kurudia gari kesho yake?
 
Eti kutongoza mtu amekula kitu hapo
 
Tatizo ni huo moyo kuenda mbio tu? Muambie aende kwa cardiologist.
 
Eti kutongoza mtu amekula kitu hapo

huh! yan jamaa ana wivu nouma, hapo mkewe katongozwa 2 moyo unamdunda wangemega kbs je?
mmh cjui moyo wake ungesimama kbs.
 
hapa mbona kamaliza kila kitu? Ushauri upi anataka kama alishakutana na dowezi wakaongea kisha akamwambia atimue? Kama ameshasamehe mi sina ushauri ila afahamu kuwa alikuwa anaibiwa maneno mengine yote ya humo yalikuwa ya utetezi.
Inawezekana huyo mke wa jamaa alimpigia na kumwambia dowezi kuwa alijiteteaje na yeye ajitete vivyo hivyo ili kutengeneza costistency kwenye mazungumzo na kuondoa doubt kwa aliyeibiwa. Nachukia matendo ya namna hii ila sijui kwa nini watu wanaendekeza ...
 
Kwanza huyo rafiki yako mjinga, vipi mtu unampiga mke wako aisay dunia hii kuna mambo.

Afu kama mke wake amevua chupi atasema kavua??

Ndo mana siku zote usikimbilia kufikiria baya, kabla ya kutumia akili.

Wanasema wenye akili, ukisha anza kumfikiria mke wako anafanya mabaya basi ndoa haita dumu.
 
Mim nilidhani mama kaingiza kidume chumbani,yaan kuongea na simu ndio mtu agonge geti mtu asisikie hadi watu waruke ukuta.
anyway, time heals everything,hana haja ya kulipa kisasi kinaweza kumfikisha pabaya,yeye atulie tu atakuja kusahau.
Ila dowezi anasema mama alikua na msimamo,sasa na hii naisubiri kwa hamu hiyo siku inaingiaje ingiaje ktk hii movie.
 
bishanga yuko wapi?

aisee huyo keshaliwa, haiwezekani jamaa ajue kuwa saa 4 usiku mwenye mali hayupo na akapiga simu na kuongea mda wote huo.
 
Back
Top Bottom