Napenda kuwaomba wanajamvi mnipe angalau cha kufanya ili nipate sponsorship ya kwenda kusoma diploma in electronics and Telecommunication engineering! Jamani naombeni msaada wenu jamani! Mimi nimeshahitimu elimu ya kidato cha sita na alama 11 yaani division two ya point 11 kwa mchepuo wa sayansi yaani PCM(PHYSICS , CHEMISTRY NA MATHEMATICS) Ila mimi natokea katika familia maskini mno yani haina hata refa wa kuniwezesha na nipo tayari kuwania mwanafamilia wa atakaeniwezesha kupata sponsorship au atakaenisponsor! nimejaribu kusaka pesa lakini kwa kweli nimeshindwa kabisa! Naombeni msaada wenu jamani WANAJAMVI!
Hata kama ni vigumu kwako kutoa ushauri nawaomba jamani mniambie hao wanaopata sponsorship kutoka SBL wanafanyaje ndio wapate? Mimi mwenzenu mwanajamvi naombeni msaada wenu plz!!!! Kwa upendo zaidi nakuomba uniPM!!!!
Hata kama ni vigumu kwako kutoa ushauri nawaomba jamani mniambie hao wanaopata sponsorship kutoka SBL wanafanyaje ndio wapate? Mimi mwenzenu mwanajamvi naombeni msaada wenu plz!!!! Kwa upendo zaidi nakuomba uniPM!!!!