Kaizer Platinum Member Joined Sep 16, 2008 Posts 25,324 Reaction score 17,846 Mar 20, 2010 #61 Bigirita said: wakati nyie mnaongea ongea tu bila matendo, mi tayari nshanunua modem ya Zantel hapa, jioni nampelekea aliendeleze libeneke! AK utabaki kuwa mesenja tu mpaka mida ya jioni. Click to expand... ewaa, hapo hapo kiongozi na mi na do ze nidiful, laptop mupyaaa kabisa yenye the highest security features, yaani popote tu anatesa Pearl we love u hatuwezi kukuacha upotee hivi hivi
Bigirita said: wakati nyie mnaongea ongea tu bila matendo, mi tayari nshanunua modem ya Zantel hapa, jioni nampelekea aliendeleze libeneke! AK utabaki kuwa mesenja tu mpaka mida ya jioni. Click to expand... ewaa, hapo hapo kiongozi na mi na do ze nidiful, laptop mupyaaa kabisa yenye the highest security features, yaani popote tu anatesa Pearl we love u hatuwezi kukuacha upotee hivi hivi