Jamani wanajamvi woote, messege yenu hiyo toka kwa Pearl

Jamani wanajamvi woote, messege yenu hiyo toka kwa Pearl

Vp AK naweza kwenda kumsaidia?
Najua hata nikiomba maombi yangu hayawezi mfikia labda tuonane ana kwa ana ndo nitatua tatizo lake.

mkuu ruksa kumsaidia lakini uzingatie kuwa yule ni lulu hakanyagwi kwa miguu........ so hakikisha amabaki uncontaminated...............
 
pearl saiz

xpin tena nyamaza simu yako yenyewe kila siku haina hela mpaka mm nikupigie?nimekuacha rasmi
Hehehehe! Haya mama! Leo AK naona kanizidi kete.

Simu yangu haaishiwi salio. Nitake radhi tafwazali.
 
wakati nyie mnaongea ongea tu bila matendo, mi tayari nshanunua modem ya Zantel hapa, jioni nampelekea aliendeleze libeneke!

AK utabaki kuwa mesenja tu mpaka mida ya jioni.

pearl sayz

ah ah ah birigita i love u sana yani,mwagaranyoooooooo
 
mkuu ruksa kumsaidia lakini uzingatie kuwa yule ni lulu hakanyagwi kwa miguu........ so hakikisha amabaki uncontaminated...............

Hehehe umenichanganya hapo mkuu lol sasa nitamsaidiaje kwa vigezo vigumu kama hivyo?
 
hivi harusi lini tena!!😀
Huyu nyumba ndogo tu! mbona mwenyewe yupo AR na walishakula viapo.
Si unajua katikati ya mwezi leo? PJ hana kitu, na contract ilikuwa inasema ukiwa na shida hizi zitakuwa shida zako mwenyewe!!
 
Huyu nyumba ndogo tu! mbona mwenyewe yupo AR na walishakula viapo.
Si unajua katikati ya mwezi leo? PJ hana kitu, na contract ilikuwa inasema ukiwa na shida hizi zitakuwa shida zako mwenyewe!!

ahaa kumbe safi sna
 
Huyu nyumba ndogo tu! mbona mwenyewe yupo AR na walishakula viapo.
Si unajua katikati ya mwezi leo? PJ hana kitu, na contract ilikuwa inasema ukiwa na shida hizi zitakuwa shida zako mwenyewe!!


pearl saiz

ah ah ah kumbe unakumbuka eeh?but somtimes nyumba ndogo anafaidi sana kuliko nyumba kubwa,si mnaona ma handling ya nyumba ndogo?
 
pearl saiz

ah ah ah masa ushidwe kabisa kwani nilikuwa sifanyi kazi?but nitakumiss sana yani inabidi sasa ni konnect hme,unataka kumrusha roho Akili?

Mwambie apokee simu bana inaita tu! Nataka kwenda naye Ngurero week end hii
 
Mwambie apokee simu bana inaita tu! Nataka kwenda naye Ngulelo week end hii
haya bana...............nendeni kwa Nick kuna samaki wa foil au Matongee!!
dah! nimezimiss bia za AR bana. Ngoja nicheck kama kuna nafasi precision ya leo jioni, nikang'ae AR
 
pearl saiz

ah ah ah kumbe unakumbuka eeh?but somtimes nyumba ndogo anafaidi sana kuliko nyumba kubwa,si mnaona ma handling ya nyumba ndogo?
nina wasiwasi, AK 47 amempa Pearl password..........mapenzi mabaya nyie.
na inawezekana wamejifungia kwenye nyumba ya kulala??/kupumzika??/kunanihilia wenyeji!!
 
Back
Top Bottom