Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 220
- Thread starter
- #41
Vp AK naweza kwenda kumsaidia?
Najua hata nikiomba maombi yangu hayawezi mfikia labda tuonane ana kwa ana ndo nitatua tatizo lake.
mkuu ruksa kumsaidia lakini uzingatie kuwa yule ni lulu hakanyagwi kwa miguu........ so hakikisha amabaki uncontaminated...............