Jamani wanaJF me naomba tuanzishe mpango mmoja huu

Jamani wanaJF me naomba tuanzishe mpango mmoja huu

Huu umasikini mbaya sana
MTU akiumwa tunaenda kumsalimia na mchele kili 10 ,mafuta Lita 5,nyama kilo 6 maharage kilo 5 nyanya, vitunguu na viungo vya pilau [emoji39][emoji39][emoji39]Nakama tumekubaliana tuanze kesho maana mimi mwenyewe najihis homa hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom